Yu wapi Mtemi Deo Kisandu?

Masulupwete

JF-Expert Member
Feb 15, 2012
2,366
2,424
Ni muda mrefu sijaona nyuzi za huyu bwana. Na kuna wakati alikuwa analalama alikamatwa na kuswekwa lupango. Pia alishaanzisha harakati za kuanzisha chama pinzani cha siasa na wengine tulishakaa mkao wa 'kula' kumngoja atakapopita kuomba wajumbe tuambulie chochote katika hali hii ngumu ya sasa.

Lakini cha ajabu sijamsikia kitambo sasa. Nimekuwa na shauku kiasi najiuliza maswali mengi. Je raisi huyu tarajali karudishwa tena lupango? au kakatazwa kukaa nyuma ya kiipadi? na kama kakamatwa je chama hakina watendaji wengine? au kapatwa na nini hasa mtemi huyu pekee aliebakia.
 
Kisandd.PNG
 
Inawezekana alifanikiwa kupata HIFADHI ,pale MIREMBE HOSPITAL maana HALI YAKE ilikuwa TETE dakika za mwisho! Alikuwa ANACHANGANYA MAMBO YA MBELE,NYUMA, KUSHOTO, KULIA, JUU, CHINI, almuradi ilikuwa MCHANGANYIKO MAALUM!
 
Deo katumbuliwa kwenye watumishi wenye vyeti Feki saa hz anahangaikia viapo mahakamani
 
Back
Top Bottom