Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Yesu aliwaambia wafuasi wake kuwa wasimlilie yeye bali walilie nafsi zao. Je, huoni kuwa hata sisi yatupasa kuliombea Taifa hili kuliko kumuombea mtu mmoja?
Binafsi sioni umuhimu wa kumuombea mtu kwani hata waliopita kabla yake waliombewa kuanzia Makanisani,Misikitina na mpaka Bungeni lakini waliyoyafanya kila mtu anajua.
Ni bora tukaombea wagonjwa na wenye shida tutapata thawabu kwa mungu kuliko kuombea wanasiasa.
Nawashauri sana tuyakumbuke maneno ya Yesu hasa katika kipindi hiki.
Binafsi sioni umuhimu wa kumuombea mtu kwani hata waliopita kabla yake waliombewa kuanzia Makanisani,Misikitina na mpaka Bungeni lakini waliyoyafanya kila mtu anajua.
Ni bora tukaombea wagonjwa na wenye shida tutapata thawabu kwa mungu kuliko kuombea wanasiasa.
Nawashauri sana tuyakumbuke maneno ya Yesu hasa katika kipindi hiki.