Yashadina-do era ya ccm imefika kileleni

Yashadina-do era ya ccm imefika kileleni

Mzanzibari Huru

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
393
Reaction score
234
Siasa za CCM za kuwafanya watz wajinga zimeanza kugonga ukuta, siasa ambazo tanganyika ilitumia kijivuli cha CCM kuitawala ZNZ yetu kwa ubabe, leo CCM wanatolewa mafuwa na watanganyika wenziwao.

CCM ikiondoka madarakani, ndio kaVuri lake hilo, haitorejea tena katik amasikio ya watu

Au liloakihsa ni kuuwana tu huko tanganyika

ahsanteni
 
CCM WANATUMIA MBINU ZA KIZAMANI SANAA,ILA MSIMAMO WETU NI:

-KUMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA NA SIO MAGUFULI. Eeh Mwenyezi Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom