Yas wapunguze Promotion Texts

Yas wapunguze Promotion Texts

RaJhumoR

Member
Joined
Mar 1, 2021
Posts
37
Reaction score
45
Naelewa kuwa kampuni ikipitia new Board inakuwa na mabadiliko ila hili swala la kupush notification hizo za "Ongea Zaidi" "Data Zaidi" kila siku message za "Nunua kifurushi cha INTANETI cha Tsh 500 au zaidi mara 3 kwa wiki hii upate OFA ya GB1 kwa Saa24. Piga *147*00# kununua vifurushi vya INTANETI ili kupata OFA" "OFA KABAMBE!Ndugu mteja Lipa Kwa Simu na Mixx by Yas J'mosi Tar 19/4/25 ukiwa VIVA Supermarkets na urudishiwe hadi TSh 100,000 ya manunuzi yako. VM kuzingatiwa"
Karibu huduma ya Niwezeshe! Sasa unaweza kukopa hadi sh.375 haraka zaidi kwa ajili ya uhitaji wako. Piga *147*00# na chagua NIWEZESHE kupata mkopo.

na hswa hii
Dear Customer, you don't have enough balance to access this service. Please top up your balance and dial *147*00# to buy packages. Enjoy Yas services!
ZINACHOSHA bcs zote zile ni kama fake texts au void NI KAMA SCAMS
 
Naelewa kuwa kampuni ikipitia new Board inakuwa na mabadiliko ila hili swala la kupush notification hizo za "Ongea Zaidi" "Data Zaidi" kila siku message za "Nunua kifurushi cha INTANETI cha Tsh 500 au zaidi mara 3 kwa wiki hii upate OFA ya GB1 kwa Saa24. Piga *147*00# kununua vifurushi vya INTANETI ili kupata OFA" "OFA KABAMBE!Ndugu mteja Lipa Kwa Simu na Mixx by Yas J'mosi Tar 19/4/25 ukiwa VIVA Supermarkets na urudishiwe hadi TSh 100,000 ya manunuzi yako. VM kuzingatiwa"
Karibu huduma ya Niwezeshe! Sasa unaweza kukopa hadi sh.375 haraka zaidi kwa ajili ya uhitaji wako. Piga *147*00# na chagua NIWEZESHE kupata mkopo.

na hswa hii
Dear Customer, you don't have enough balance to access this service. Please top up your balance and dial *147*00# to buy packages. Enjoy Yas services!
ZINACHOSHA bcs zote zile ni kama fake texts au void NI KAMA SCAMS


Mkuu hata hili li Uzi lako nalo linachosha!
 
Kuna huyu aliyepewa kitengo cha kutuma sms za #SITAPELIKI, walau apewe likizo isiyo na kikomo , imetosha sasa
 
Naelewa kuwa kampuni ikipitia new Board inakuwa na mabadiliko ila hili swala la kupush notification hizo za "Ongea Zaidi" "Data Zaidi" kila siku message za "Nunua kifurushi cha INTANETI cha Tsh 500 au zaidi mara 3 kwa wiki hii upate OFA ya GB1 kwa Saa24. Piga *147*00# kununua vifurushi vya INTANETI ili kupata OFA" "OFA KABAMBE!Ndugu mteja Lipa Kwa Simu na Mixx by Yas J'mosi Tar 19/4/25 ukiwa VIVA Supermarkets na urudishiwe hadi TSh 100,000 ya manunuzi yako. VM kuzingatiwa"
Karibu huduma ya Niwezeshe! Sasa unaweza kukopa hadi sh.375 haraka zaidi kwa ajili ya uhitaji wako. Piga *147*00# na chagua NIWEZESHE kupata mkopo.

na hswa hii
Dear Customer, you don't have enough balance to access this service. Please top up your balance and dial *147*00# to buy packages. Enjoy Yas services!
ZINACHOSHA bcs zote zile ni kama fake texts au void NI KAMA SCAMS
Kipindi unaanza kutumia LAINI yao si ulikubali Vigezo & Masharti yao mkuu na hawakukulazimisha..?! Pia wamebadili jina majuzi hapo so wanahakikisha neno Yas linakua common kwa customers wake kama tigo lilivyokua..

Hiyo ni kampuni inahitaji Matangazo na Promo kujiendeleza kibiashara that's why kuna kampuni nyingi za simu hapa nchini unaweza opt na tafuna/kuvunja laini yao Yas then ukasajili Voda au Halotel but huko unaeza experience the same shitty promo messenges.

Au sajili TTCL hawana usumbufu kama Yas wa SMS za Promo..

Alternatively unaweza BLOCK hizo short codes zao ukawa huru zaidi..
 
Back
Top Bottom