Mosri_Telematics
Member
- Aug 4, 2025
- 25
- 14
Yas Ultra 4G+ Unlimited Wi Fi
(Nane Nane Offer )
Ndio,
Sasa ni kwa Tshs. 99,000/= tu!✔️
Unajipatia Router yako Popote ulipo🇹🇿,
KIFAA MAALUMU & CHENYE KASI KUBWA🔥
(Kukidhi matumizi ya watu wote)
✔️ WANAFUNZI
✔️ WATUMISHI (Sekta zote)
✔️ TAASISI (Umma na Binafsi)
✔️ OFISI / KAMPUNI
✔️ BIASHARA KUBWA NA NDOGO
✔️ FREELANCERS ( REMOTE WORK)
Habari njema zaidi ni kwamba,
Ukilipia Leo hiyo Tshs 99,000/= yako,
Unapewa ikiwa na vitu vifuatavyo👇
✔️ Portable Ultra 4G+ Enhanced YAS Router🔥
(Unaweza Kuibeba, kuhama nayo & kuitumia popote wakati wowote)
✔️ INTANETI BILA KIKOMO Mwezi 1 BURE!
(Kasi ya mpaka 30 - 50 Mbps🚀)
✔️ FREE ETHERNET CABLE
(Cable au waya wa Mtandao)
✔️ FREE 4000mAh BATTERY🔋
(Inakaa/inatunza chaji masaa 6 - 8)
✔️ FAST CHARGER / ADAPTER🔌⚡️
(Kwa ajili ya kuchajia kifaa chako)
Kisha sasa,
Baada Offer ya kifaa kuisha!✔️
Miezi yote inayofuata, Mteja wa YAS
Utaweza kulipia & kujiunga Vifurushi mbalimbali vya intaneti kutoka YAS,
vinavyokupatia Matumizi ya Data bila kikomo kila mwezi kama ifuatavyo:-
YAS UNLIMITED PLANS/MONTH
✔️ Tsh. 70,000/= up to 10 Mbps
✔️ Tsh. 100,000/= up to 20 Mbps
✔️ Tsh. 150,000/= up to 50 Mbps
✔️ Tsh. 200,000/= up to 100 Mbps
✔️ Tsh. 400,000/= up to 200 Mbps
(Picha: Vifurushi & Kasi (Mbps)👇)
NOTE:
1. LIPIA MALIPO Direct > Yas Tanzania✅️
2. USIMPE AGENT PESA YAKO YOYOTE❌️
NOTE: USIMTUMIE MTU PESA YOYOTE❌️
(Malipo yote unaweza kufanya Mteja mwenyewe popote ulipo moja kwa moja kwenda YAS BUSINESS - B2B✔️)
(Picha: Hatua za kufanya malipo👇)
Baada ya kukamilisha malipo yako!
Ambatanisha TAARIFA zako zifuatazo kama Mteja kwa ajili ya KYC - Verification na Kukamilisha Usajili & Activation ya kifaa chako tayari kwa matumizi mara kinapokufikia✔️
1. MAJINA YAKO HALISI KWA USAHIHI
2. NAMBA YA SIMU ULIYOSAJILI (MPYA)
3. KITAMBULISHO CHAKO (Picha)
(NIDA, MPIGA KURA, LESENI au PASSPORT)
4. MESEJI yako ya MALIPO ya HUDUMA ✔️
(Mfano wa Meseji za Malipo ya Wateja wa 5G na 4G Routers za YAS👇)
KUMBUKA:
1. REFERENCE NAMBA
(Hapa Unajaza Laini Namba yako ya kifaa uliyoisajili (Mpya) ambayo pia ndiyo itaunganishwa na itakuwa ikipokea Bando lako utakalochagua kila mwezi) ✔️
MALIPO YA KILA MWEZI PIA UTAKUWA UKIFANYA MWENYEWE TU✔️
(Unafuata mfumo wa malipo ya YAS POSTPAID - Kama hufahamu pia utaelekezwa kabla/baada ya manunuzi yako)
KARIBUNI SANA TUWAHUDUMIE!🤝
Cc: MOSRI TELEMATICS🌍
"Local Insights🇹🇿, Global Tech🌍"
Physically, Tunapatikana:
📍DODOMA & DAR ES SALAAM 🇹🇿✔️
(FREE DELIVERY KWA DODOMA 💯🛵📦)
Kwa Wateja wote walioko nje ya sehemu tunakopatikana
(Dar es salaam au Dodoma)✔️
Usihofu kabisa! Hakuna Matata!!!
Unaagiziwa kifaa chako popote ulipo!
Mikoa yote🇹🇿 Tunakufikishia🚍📦✔️
(Picha: Delivery ya mteja - SONGEA)
#ANZIA ULIPO LEO, UKIWA NA YAS 👍!
Kwa maelezo zaidi,
au kupata huduma zetu zaidi!
Wasiliana nasi Leo kupitia:
● Whatsapp/Simu☎️: +255717245161
● Social Medias:Mosri_Telematics
( X, Instagram, Facebook & Tiktok )