Yani hapa leo

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
Kwa wale wadada ambao hutuacha na kusema sisi sio type zao na kwenda kwa wazee (sponsors) malipo ni hapa duniani, yani mkizaa mabinti zenu na wenyewe wataanza kutufuata sisi wakati huo tushakuwa wakubwa kama baba zao. Kwa hiyo…
 
Maisha yatakuwa yamachange watakuwa wamekuja na stly mpya sio ya sponsor tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…