Kwa mtu mwerevu hawezi kuhangaika nao, ulio wajaa ni wivu,chuki na fitna na kupinga maendeleo ya soka, watu tunataka tutoke kwenye Analojia twende Digital Mechi za ligi zioneshwe LIVE wao wanaturudisha nyuma maendeleo ya mpira. Hebu fikiria karne hii unakataa maendeleo kama hayo, kwa kudai mambo ya kipuuzi tu, ni akili yao?
Poleni sana pelekeni njaa zenu za msimbazi, yanga hatujurupuki