Mie nausikiliza redioni, watangazaji wanamsifia kipa wa Simba kwamba anafanya kazi nzuri sana. Asamoah wa Yanga amechemsha, Mgosi naye ametoka kwa upande wa Simba na nafasi yake imechukuliwa na Patrick Ochan.
Mie nausikiliza redioni, watangazaji wanamsifia kipa wa Simba kwamba anafanya kazi nzuri sana. Asamoah wa Yanga amechemsha, Mgosi naye ametoka kwa upande wa Simba na nafasi yake imechukuliwa na Patrick Ochan.
Angekuwako Mrisho Khalfan Ngassa tayari Yanga ingekuwa ishacheza ndombolo kama mara mbili hivi, lkn kwa kuwa ayuko, watakung'utwa kama kibaka aliekamatwa mitaa ya uswazi. subirini tu!!!!!!!!!