SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 910
- 1,394
ALLY SALIM akiwepo golini tu ujue Utopolo FC wana goli 1 mkononi.... maana kwa yale mashuti ya Aziz Ki na Kwa jinsi huyo ALLY SALIM anavyowapoozeshea watu mipira naona akina Pacome na Mzize wakisubiria re-bound za kutosha...