Vipi kama anataka kucheza Yanga hadi mkataba wake utakapofikia kikomo?
Mtamlazimisha kumuuza?
Sheria ya mkataba inasemaje hapo?
Nimeajiriwa Yanga kwa miaka miwili, vipi nilazinishwe kusaini mkataba mwingine au kuuzwa kabla ya kutisha mkataba wa awali?