Tuwe wa kweli angalia maamuzi mengi ya refa yalikuwa ni ya kuingamiza Azam,tukianzia kwenye fouls yanga walistahili kupata kadi mbili nyekundu kwa wachezaji Abdul na donald ngoma lakin refa akaacha sasa kama sio kubebwa nn, marefa wetu hawako fair hata kidogo, napenda kuwaambia hamtafika mbali kwenye CAF orange champion