Yanayonikuta London (UK)

Kiufupi majirani zake wanamuwangia, ila siyo kwa ungo au hiziri bali vifaa vya kisasa vinavyotoa umeme unaomuathiri mmatumbi mwenzetu.
Mkuu unge dadavua vzr tuweke wazi na ss wamakonde tuelewe kinaga ubaga.
 
Report hayo mambo sehemu husika.

Inaweza kuwa ni simu yako au minara ya simu.

Ina cause cancer hiyo. Si mambo ya mchezo mchezo hayo.
 
Hama huko la sivyo utakutwa maiti na mnavyoishi kisela bila kuoa Wala kuolewa ni hatari Sana
 
Ila baadhi ya watu mnajiita GT hivi mnajua mnachoandika kweli?? Mtu yuko na matatizo na ameona ili apumue kidogo aje ashee na watanzania wenzake hapa..ila inasikitisha majibu mnayompa aisee..yuko kwenye hatari lakini mnamuongezea shambulio la moyo tena...
Kama hujaelewa si bora unyamaze kuliko kuchangia pumba?
Yani mtu amelalamika kuhus bullying ila na nyie mna bully...
#^!₩¥(!((@!¥#!*!
 
Amna kitu hunifanya nione ni hatari kuishi mbali na nchi yangu hasa ikifika masuala ya afya
 
Unalogwa Kwa technolojia ,ni waafrica wenzako ni Bora usafiri au utengenwze shield ya ku repel hizo magnetic fields ,uweke na sensa ambayo itapiga kingora pind intensity itakuwa kubwa
 
Uzungu mwingi bila sababu eti
Nilikua nahisi celophoner dytcline lakini baadae nikawa nahisi niko ok na hii ilipelekea cewlonyc hydyon kwenye piytkjlr
 
Amna kitu hunifanya nione ni hatari kuishi mbali na nchi yangu hasa ikifika masuala ya afya
Hatari hiyo ipo hata hapa nchini Tz, yote aliyoeleza huyo hufanyika sana hapa kwetu Tz.
Kwa kukudokeza tu ni kwamba wale watu ambao huwa unawaona kwenye vijiwe vya kahawa wakipiga soga tangu asubuhi hadi jioni wengi wao ni "mawakala wa kimkakati" wa kufanya propaganda chafu dhi ya watu fulani Fulani wanaowalenga. Most of them are the agents for Bullying people, Spreading the 'Black Propaganda,' Characters Assassination Propaganda and Smear Campaigns against their Targets (Activists, Critics and Opponents).
Ukiwachunguza kwa kina utaona kwamba kwenye stori zao nyingi wanapenda sana kutumia neno "unaambiwa .............."
 
nenda polisi bro, pia fikiria kurudi nyumbani bongo, huku hakuna hayo. pia, wakati yote hayo yanaendelea, jua Yesu Kristo anaweza kukusaidia na watesi wako hao wote, mpokee yeye ili uwe na uhakika wa maisha ya sasa na ya baadaye. Mungu awe nawe.
 
Mtafutieni tiba huyu kwani huko hakuna mirembe za UK?
 
Rudi nyumbani au chukua likizo usafiri mbali na UK uone kama hali itaendelea ikiwezekana hama mji kubali kuanza upya
 
Kwa akili yangu ndogo upo kwenye hatari sana
Sasa hv uchawi uko very advanced wanachokifanya wanauchanganya na technology...hapo inakua balaa na ndio kinachokutokea...kama kuna research unafanya ya kuhusu racism na unajua itawagusa wakubwa rudi tu nyumbani..hao jamaa hawashindi kitu...Epstein Alikufa kwasababu angeharibu watu wengi..hata harvey weinstein anaeza kufa mda wowote

Rudi nyumbani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…