Yamenikuta

留下您美妙的谎言,我们的人
 
Ahsante mleta mada. Nilikuwa sijawahi kucheka siku nyingi. Nimecheka sana. Dawa ya moto ni moto ........
 
kafute namba yko ya cm af andika yke
 
uyo kakutafutia ajira mkuu tafuta ofisi piga ela acha kumbwela man unawaza tena aroooooo
 
金難一z月嗯嗯嗯呢个时候
我們認為金z月難弓壣木㔱土日月難竹z月日弓金 z月金竹尸丶金弓日竹尸 z弓難大尸
z難弓尸金弓日十手:d
 
Umeshindwa kuwa tapeli na fursa imejitokeza tayari?upewe nini tena piga hela kaka
 
Yaani wabunge na madiwani wananisumbua kweli...wanataka kurudi mjengoni...napiga english course kwanza nipate cha kuwazugia wajue kweli nimetoka naigeria...a ha haa ha
 
Yaani wabunge na madiwani wananisumbua kweli...wanataka kurudi mjengoni...napiga english course kwanza nipate cha kuwazugia wajue kweli nimetoka naigeria...a ha haa ha

hapa ndo umeonesha kua stor yako ni ya kutunga....
vip Lowasa hajakupigia sim labda?
 
kuna mpenzi wangu tumeachana/nimemuacha kama wiki moja iliyopita hivi, sasa amechukua namba yangu na kuiweka kwenye vibao akaviandika MGANGA WA KIENYEJI KUTOKA SUMBAWANGA na akavitundika kwenye miti nimebahatika kuona kimoja sasa sijui aliweka vingapi!
Sasa napata sana usumbufu napigiwa simu nyingi sana na kutoka Dar es salaam wakidai mimi ni mganga wa kienyeji kama nilivyotangaza!
naombeni ushauri nifanyeje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…