YAMENIKUTA: Amenitegeshea Ujauzito, Nifanyeje......????

YAMENIKUTA: Amenitegeshea Ujauzito, Nifanyeje......????

lane

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2013
Posts
908
Reaction score
513
Wakulungwa salama?

Nimekuwa kwenye mahusiano yasio rasmi na binti mmoja hivi. Yeye anadai ana boyfriend wake. Na mimi nimeoa, nina familia

Sasa basi, tumekuwa na mahusiano na huyu mdasa kwa muda kama miaka miwili sasa. Lakini hapa mwishoni tukaongea na kukubaliana kuacha/kusitisha mahusiano kwa sababu kadhaa mojawapo ni kwa sababu kila mtu ako na commitment sehemu.

Sasa basi, leo nimekutana na huyo binti, na nyege hazina adabu tukakumbushia tulipoishia. Tukatombana tena. Ile nimemaliza tu demu anaaga kwenda, akaniambia ana ujauzito wa miezi mitano! Duuuuh niliishiwa nguvu. Nilichoka. Nikamuomba sana kwamba sipo tayari kuwa na watoto nje ya ndoa, ila aligoma kabisa. Na kwamba yeye hawezi kutoa mimba

Namuuliza kwanini hajasema muda wote ana mimba, kajibu kwa sababu mawazo ya kutoa mimba hana! Lazima azae

Naomba ushauri, NIFANYEJE? Nimeshalikoroga tayari. Nina hofu kuharibu amani ya familia yangu

Naombeni USHAURI (kejeli na matusi acheni kwanza)
 
Tulia kimya subiri mtoto azaliwe.,huku ukijiandaa na songombingo la nyumbani kwako.
Nakukumbusha wanawake tunasamehe ila hatusahau, ni kuvizia tu perfect opportunity ya kulipiza kisasi 🤣
Kudaaadeki! Sasa unanitia hofu zaidi! Duuh
 
Vuna ulichopanda mkuu wakati unakojolea ndani hukuwaza kuhusu hili?
 
Wakulungwa salama?

Nimekuwa kwenye mahusiano yasio rasmi na binti mmoja hivi. Yeye anadai ana boyfriend wake. Na mimi nimeoa, nina familia

Sasa basi, tumekuwa na mahusiano na huyu mdasa kwa muda kama miaka miwili sasa. Lakini hapa mwishoni tukaongea na kukubaliana kuacha/kusitisha mahusiano kwa sababu kadhaa mojawapo ni kwa sababu kila mtu ako na commitment sehemu.

Sasa basi, leo nimekutana na huyo binti, na nyege hazina adabu tukakumbushia tulipoishia. Tukatombana tena. Ile nimemaliza tu demu anaaga kwenda, akaniambia ana ujauzito wa miezi mitano! Duuuuh niliishiwa nguvu. Nilichoka. Nikamuomba sana kwamba sipo tayari kuwa na watoto nje ya ndoa, ila aligoma kabisa. Na kwamba yeye hawezi kutoa mimba

Namuuliza kwanini hajasema muda wote ana mimba, kajibu kwa sababu mawazo ya kutoa mimba hana! Lazima azae

Naomba ushauri, NIFANYEJE? Nimeshalikoroga tayari. Nina hofu kuharibu amani ya familia yangu

Naombeni USHAURI (kejeli na matusi acheni kwanza)
Sasa umemgonga leo anasemaje ana ujauzito wa miezi mitano😄
 
Asumani kwa sasa hawezi kuwepo kwenye ubongo hupo wewe
IMG_1751.jpeg
 
Wakulungwa salama?

Nimekuwa kwenye mahusiano yasio rasmi na binti mmoja hivi. Yeye anadai ana boyfriend wake. Na mimi nimeoa, nina familia

Sasa basi, tumekuwa na mahusiano na huyu mdasa kwa muda kama miaka miwili sasa. Lakini hapa mwishoni tukaongea na kukubaliana kuacha/kusitisha mahusiano kwa sababu kadhaa mojawapo ni kwa sababu kila mtu ako na commitment sehemu.

Sasa basi, leo nimekutana na huyo binti, na nyege hazina adabu tukakumbushia tulipoishia. Tukatombana tena. Ile nimemaliza tu demu anaaga kwenda, akaniambia ana ujauzito wa miezi mitano! Duuuuh niliishiwa nguvu. Nilichoka. Nikamuomba sana kwamba sipo tayari kuwa na watoto nje ya ndoa, ila aligoma kabisa. Na kwamba yeye hawezi kutoa mimba

Namuuliza kwanini hajasema muda wote ana mimba, kajibu kwa sababu mawazo ya kutoa mimba hana! Lazima azae

Naomba ushauri, NIFANYEJE? Nimeshalikoroga tayari. Nina hofu kuharibu amani ya familia yangu

Naombeni USHAURI (kejeli na matusi acheni kwanza)
Jitie kitanzi ili kuficha hiyo aibu yako ya kuzaa nje ya ndoa.
 
Wakulungwa salama?

Nimekuwa kwenye mahusiano yasio rasmi na binti mmoja hivi. Yeye anadai ana boyfriend wake. Na mimi nimeoa, nina familia

Sasa basi, tumekuwa na mahusiano na huyu mdasa kwa muda kama miaka miwili sasa. Lakini hapa mwishoni tukaongea na kukubaliana kuacha/kusitisha mahusiano kwa sababu kadhaa mojawapo ni kwa sababu kila mtu ako na commitment sehemu.

Sasa basi, leo nimekutana na huyo binti, na nyege hazina adabu tukakumbushia tulipoishia. Tukatombana tena. Ile nimemaliza tu demu anaaga kwenda, akaniambia ana ujauzito wa miezi mitano! Duuuuh niliishiwa nguvu. Nilichoka. Nikamuomba sana kwamba sipo tayari kuwa na watoto nje ya ndoa, ila aligoma kabisa. Na kwamba yeye hawezi kutoa mimba

Namuuliza kwanini hajasema muda wote ana mimba, kajibu kwa sababu mawazo ya kutoa mimba hana! Lazima azae

Naomba ushauri, NIFANYEJE? Nimeshalikoroga tayari. Nina hofu kuharibu amani ya familia yangu

Naombeni USHAURI (kejeli na matusi acheni kwanza)


Na wewe mtegeshee Matumizi, umelala naye bila Condom, umemwaga shahawa zako unasema " Kanitegeshea " sasa na wewe mkomeshe, Mtegeshee Matumizi kwenye account yake bila.kumwambia!
 
UZINZI HAUJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA

vuna ulichopanda
 
Si ana boy wake, kwanini umekubali haraka kwamba mimba ni yako? Na kwanini akuambie muda wote alikuficha?

Umekaa kutafakari au ndio wale mnalengwa kupewa majukumu yasiyo yenu?

Pia why unafanya bila kukinga usimpe mchepuko kibendi, kama kweli wewe unajali familia na hautaki mtoto wa nje?

Jitafakari au sijui upoje...
 
Hivi kwann mnacheza peku halafu mnalalamika kutegeshewa mimba kwani zile njegere mnazomwaga huwa mnadhani zinaenda wapi?
 
Back
Top Bottom