Ni ya mkulima mmojaanaitwa Nyani Ngabuhahaha pole mkuu .... Kuna signature ya mdau flani ni one of my Fev inasema hivi "MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO" uwezo wa kubuni njia za kutuingizia kipato ni mdogo sana....
...ehhh, ndio yamekuwa hayo siku hizi? ama njaa ni wendawazimu! Tshs 10,000/= nyingi...!
Kwa mtaji huo utakuta mtu ndio ajira yake hiyo, udhalimu tu!....
Ungemkomalia na kumtishia mpaka polisi waje, lakini Mob Justice za Bongo aaarrggghh!
Mi ningemshukia na bonge la panga' kudadeki angenitambua.Hapa ningetoa zaidi maana polisi wangeingilia kati na raia wema wangegawana gari langu vipande vipande na kuvipeleka mtaa wa lindi.Na ratiba yangu ya kariakoo ingeishia pale.Nashukuru sana yu mzima!
Hiyo ni sadaka/malipo?Usingempa ingekuaje kama ndio kumfidia hayo maumivu yake?Nikiwa naendesha kariakoo kaja mwanaume wa makamo hivi namuona makusudi anajigongesha kwenye kioocha gari cha pembeni.Mie nikasimama mara anadai nimpeleke hospital kaumia nikamwambia umeumia wapi na gari haikuwa kasi sanasana umegusa kioo .Kashupaa nimpeleke hospital au nimpe pesa akatibiwe.Nikampa 10,000.00 ili yaishe bwana wee nimeenda kupaki nazunguka kariakoo na kutana naye anadunda swafi kabisa!Jamani hali ya uchumi hii itatupeleka pabaya mtu mzima kama yeye nimesikitika sana.so ukiwa kariakoo uwe mwangalifu sana. Watu wanabuni njia mbalimbali za kujipatia pesa kiurahisi.