Yaliyojiri bungeni - tarehe 19.03.15

Yaliyojiri bungeni - tarehe 19.03.15

TGInnocent

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
1,088
Reaction score
583
Kulikuwa na thread leo (19.03.15) ikidai kuwa Zitto angeaga wabunge leo. Sijasikia kama tukio hilo limetokea, au taarifa zilikuwa uzushi tu!?
 
  • Thanks
Reactions: myr
Huo ni umbea tu badala ufanye kazi we unakaa na kukodoa macho kwenye screen ya tv eti Zito kuanga. Aya baada ya kuaga utafaidika na nini
 
Huo ni umbea tu badala ufanye kazi we unakaa na kukodoa macho kwenye screen ya tv eti Zito kuanga. Aya baada ya kuaga utafaidika na nini

Eeh dada mbona unamfikiria kila mtu hufanya umbea kama ulivyo zoea. Wewe huwa unakodolea macho kitu gani?
 
Back
Top Bottom