Viongozi walishatolewa madarakani. Saizi hakuna wenyeviti wa mitaa, vijiji wala vitongoji, na wala hakuna halmashauri ya kijiji wa mji.
Kwa hiyo kama kabandika bango,kabandika kama mgombea yoyote anavoweza kufanya. Ingawa ofisi za serikali na majengo ya umma hayatakiwi kubandikwa matangazo ya wagombea.