Ndugu watanzania, serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania imepata kiongoz shupavu na mwenye akili nyingi yakuliongoza taifa hili ktk kipindi hiki kigumu.
Rais wetu mpendwa amedhamiria miaka mitano ijayo tanzania iwe taifa lamfano ktk bara la afrika ktk kila nyanja ya uchumi, kuanzia ngaz ya kijiji, mpaka taifa.
Ndio hili linawezekana, ikiwa wewe kama mtanzania mwenye mapenzi mema na taifa lako utajitokeza mbele na kumuunga mkono mh Rais. Shughuli alio kwisha ifanya mpaka sasa hakuna mtanzania hajala tunda lake ila Rais angependa kuona utumbuaji majipu ukianzia ngazi ya familia mpaka kitaifa.
Yani kila unalo lifanya jiulize lina ongeza thaman kias gani kwenye taifa? Wewe kama baba ktk taifa lako umeongeza nin ktk familia yako? Wewe kama kiongoz umeleta ubunifu wa aina gani ktk taifa lako na watu wako?
Mh Rais anaitaji watu wachapa kazi na wenye ubunifu bila kusahau uzalendo wa kwel wenye kupinga unyonyaji na ufisadi. Mh Rais anaitaji msaada wako kama mtanzania kuonyesha njia ktk jamii yako na serikal yake nin kifanyike na nin kisifanyike. Ubunifu wako ni wamuhim sana ktk serikali hii.
Manazuoni huu ndio wakati wakuleta mabadiliko maana Mh Rais anaitaji mawazo yenu kulijenga taifa hili. Mh Rais anataka kufumua kila mianya ya wiz ktk serikali nakuleta mabadiliko makubwa sasa ila ktk njia yakisasa zaidi.
Uzalendo ndio sifa namba moja kumsaidia Rais. Kama Rais ameonyesha njia sasa nawewe mtanzania jitokeze kumsaidia Mh Rais ili taifa hili lisonge mbele.
Rais wetu mpendwa amedhamiria miaka mitano ijayo tanzania iwe taifa lamfano ktk bara la afrika ktk kila nyanja ya uchumi, kuanzia ngaz ya kijiji, mpaka taifa.
Ndio hili linawezekana, ikiwa wewe kama mtanzania mwenye mapenzi mema na taifa lako utajitokeza mbele na kumuunga mkono mh Rais. Shughuli alio kwisha ifanya mpaka sasa hakuna mtanzania hajala tunda lake ila Rais angependa kuona utumbuaji majipu ukianzia ngazi ya familia mpaka kitaifa.
Yani kila unalo lifanya jiulize lina ongeza thaman kias gani kwenye taifa? Wewe kama baba ktk taifa lako umeongeza nin ktk familia yako? Wewe kama kiongoz umeleta ubunifu wa aina gani ktk taifa lako na watu wako?
Mh Rais anaitaji watu wachapa kazi na wenye ubunifu bila kusahau uzalendo wa kwel wenye kupinga unyonyaji na ufisadi. Mh Rais anaitaji msaada wako kama mtanzania kuonyesha njia ktk jamii yako na serikal yake nin kifanyike na nin kisifanyike. Ubunifu wako ni wamuhim sana ktk serikali hii.
Manazuoni huu ndio wakati wakuleta mabadiliko maana Mh Rais anaitaji mawazo yenu kulijenga taifa hili. Mh Rais anataka kufumua kila mianya ya wiz ktk serikali nakuleta mabadiliko makubwa sasa ila ktk njia yakisasa zaidi.
Uzalendo ndio sifa namba moja kumsaidia Rais. Kama Rais ameonyesha njia sasa nawewe mtanzania jitokeze kumsaidia Mh Rais ili taifa hili lisonge mbele.