chopeko
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 1,528
- 1,107
Sitaki kusikia majina ya hawa watu... Nimefilisika na kuhama MWANZA kwa unyama wa watu hawa!
U serious mkuu? Dah pole sana
Sitaki kusikia majina ya hawa watu... Nimefilisika na kuhama MWANZA kwa unyama wa watu hawa!
Ziwa victoria liko Amerika ya kusini!.ziwa victoria lina connection na kenya? kama hii habari ni ya kweli hongera kitana kwa kuwa mbunifu
Mkuu ni true story.. Iwapo watu waadilifu wataingia madarakani nikiwa hai nitatoa ushahidi.. Ningeendelea kubaki Mwanza hivi sasa ningekuwa nimeuawa!.U serious mkuu? Dah pole sana
Hii ishu inanikumbusha namna Ethiopian Airline ilivyotua ghafla KIA ili wanaume washushe "mizigo" yao...
Watu wakadhani ni "emergency landing"...
Watu watokao Kanda ya Ziwa, hasa wanaojishughulisha na masuala ya majini kwa maana ya usafirishaji na uvuvi, hususan maeneo ya Visiwa vya Kome, Zilagula na vingine ndani ya Ziwa Victoria ukiwaambia au kuwatajia jina la Kitana, kisha ukaongezea Matata na wengine, kisha ukasema kuna serikali iko madarakani inatawala, wanaweza kukuona unahitaji kuwa 'screwed' ili uweze kufikiri sawa sawa kujua maana ya serikali hasa yenye mamlaka...
Ton 280 za sukari zina thamani kubwa kuliko hiyo boat?
Mkuu ni true story.. Iwapo watu waadilifu wataingia madarakani nikiwa hai nitatoa ushahidi.. Ningeendelea kubaki Mwanza hivi sasa ningekuwa nimeuawa!.
Umeonae kumbe jamaa walikuwa wanashusha sembe,aka ka nchi ni kaajabu kweli kweli.
Sitaki kusikia majina ya hawa watu... Nimefilisika na kuhama MWANZA kwa unyama wa watu hawa!
Sitaki kusikia majina ya hawa watu... Nimefilisika na kuhama MWANZA kwa unyama wa watu hawa!
Ton 280 za sukari zina thamani kubwa kuliko hiyo boat?
Ile meli iliyotangazwa imezama katika ziwa Victoria na tani 280 ya sukari siyo kweli. Haikuzama ila umefanyika wizi na mmiliki wa meli hiyo Kitana Chacha wa Mwanza ambaye ikiwa njiani zilikuja boti kadha kutoka Kenya na sukari ikapakuliwa na kuingizwa kwenye hizo boti, na baada ya hapo meli ikazamishwa kwa kutobolewa chini ingawa haikuzama yote.
Inafaa vyombo husika vichunguze issue hii kwa kina na huyo Kitana na wafanyakazi wale wa meli wahojiwe kueleza ukweli.
Huyu Kitana ni swahiba wa Matata yule Meya wa Ilemela na wawili hao wamekuwa wakishiriki sana katika vitendo vya ujambazi katika Ziwa Victoria.
Kiongozi ni hivi, boat ina bima na imechoka hivyo unapakia mzigo wa maana then mbeleni unapakuliwa, meli inatobolewa inazama na inawekwa mifuko iliyofunikwa vizuri kuonesha sukari iliyeyuka mifuko ikaelea. Mzigo utauzwa na atalipwa pesa ya kujenga boat mpya.
Hii ni kama stori ya kituo flani cha redio dar kiliunguza ofisi makusudi na kulipwa pesa ya kujenga na kununua vifaa vipya vya kisasa. Ni michezo tu hata wa mabasi wanafanya
Boti ilibinuliwa kiufundi mkuu. Sasa hivi imeshavutwa ipo ufukweni Mwaloni 'Safe and sound'
Mwaga data humu utapata japo ushauri nasaha kusubiri waadilifu nchii hii its a dreaming for imposibleMkuu ni true story.. Iwapo watu waadilifu wataingia madarakani nikiwa hai nitatoa ushahidi.. Ningeendelea kubaki Mwanza hivi sasa ningekuwa nimeuawa!.