Yafaa kuweka cctv camera chooni?

Jindal Singh

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
1,857
Reaction score
1,541
Ivi yafaa kuweka cctv camera zilizo camouflaged chooni katika public toilet ili kubaini watumiaji wa huduma hii vibaya na kuhifadhi taarifa zao bila kuvujisha. Ili kuwawekea ushahidi mtu anayepinga kutumia choo vibaya.
 
Watetezi wa haki za binadamu watakuburuza mahakamani haraka sana.

Ahsante!
 
LABDA UWEKE UKAGUZI WA MARA KWA MARA SI KAMERA

ila jaribu kupitia MIREMBE watakupa vipimo na dawa
 
FANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA
=> WEKA MAJI YA KUTOSHA kama umeweka maji kitoto ndoo tena nusu UNATEGEMEA NINI?
=> ELIMU KWA WATUMIAJI kuna hotel nyingne unaingia unaogopa kujisaidia, choo cha kisasa, maji huoni kumbe ni AUTOMATIC ushamba unakutoka
 
Ivi yafaa kuweka cctv camera zilizo camouflaged chooni katika public toilet ili kubaini watumiaji wa huduma hii vibaya na kuhifadhi taarifa zao bila kuvujisha. Ili kuwawekea ushahidi mtu anayepinga kutumia choo vibaya.

Unaweza kuweka sensor tu, kutambua chooni kuna mtu au watu wangapi, hata muda.
 
Wee, hujui kwenda haja kubwa au ndogo ni Ibada?
 
Hata chumba cha wageni hairuhusiwi sembuse chooni,wataku sue wateja.
 
mh!!watu wamejaaaaaliwa kuwa na mawazo bunifu kwelikweli!!anyway weka nyumbani kwako halafu utuletee mrejesho kwamba ziwekwe public toilet ama vp!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…