BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Feb 5, 2012 #41 mara ya kwanza kutumiwa text msg yenye vifupisho bya kisasa ilinichukua muda kuelewa maana penye 's' panawekwa x, na mpaka leo sijaelewa wanapoweka 'q' huwa wanamaanisha herufi gani, huwa na guess tu
mara ya kwanza kutumiwa text msg yenye vifupisho bya kisasa ilinichukua muda kuelewa maana penye 's' panawekwa x, na mpaka leo sijaelewa wanapoweka 'q' huwa wanamaanisha herufi gani, huwa na guess tu
Kimbweka JF-Expert Member Joined Jul 16, 2009 Posts 8,597 Reaction score 1,690 Feb 5, 2012 #42 Mie nijuavyo ni kwa kuigiza mtu aliyeshiba bia, yaani anashindwa kutamka sasa yeye anatamka xaxa huku ana kwikwi na kucheua
Mie nijuavyo ni kwa kuigiza mtu aliyeshiba bia, yaani anashindwa kutamka sasa yeye anatamka xaxa huku ana kwikwi na kucheua