Yaani chadema bora waondoke tu kalenga.

Yaani chadema bora waondoke tu kalenga.

Ralphryder

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2011
Posts
5,599
Reaction score
1,798
Yaani aibu tupu, pamoja na chopa bado waliojitokeza ni wahuni wachache hata akina mama ni wa kuhesabu! source ITV.
 
Acha uwongo nimeangalia Itv habari za ccm na cdm, cdm walikuwa na watu wengi bali yule mzungu wenu ameishiwa sera hadi J Slaa anaamua kufanya Cheap politics!
 
Yaani aibu tupu, pamoja na chopa bado waliojitokeza ni wahuni wachache hata akina mama ni wa kuhesabu! source ITV.
Ushabiki ni ugonjwa wa hatari sana. Kalenga watafanya makosa makubwa sana kuchagua CCM kwa mantiki tu kwamba Ubunge sio rambirambi au kifuta machozi. Ubunge ni kazi ya kuleta maendeleo kwa wananchi kazi ambayo inahitaji elimu, uzoefu wa uongozi katika utumishi wa umma na weledi vitu ambavyo Godfrey hana na hajapimwa kama anavyo. Mara mia wangempendekeza Abbas Kandoro ambaye kwa maoni yangu alikuwa anafaa kuliko hata William kutokana na vigezo hapo Juu. Isitoshe Msimamo wa William pale hazina uliwakera sana kiasi cha Kinana kumuita ni mzigo, iwaje leo CCM hao hao waanze kumsifia Godfrey kuwa ni Chaguo zuri. Chaguo la Godfrey ni kutaka kumbabaisha ili asijue chanzo cha baba yake kupelekwa Afrika Kusini na kumsaidia mama yake. Ni muda tu dogo atajua watakapomtosa 2015.
 
Chadema yaani mpaka raha, lakini kuja kwa Chadema kama chama kikuu cha upinzani ambacho mwaka 2015 kinachukua dola kimepunguza mauaji ya wabunge wa CCM walivyokuwa wanauwawa siku za nyuma wakijua jimbo watalichukua kirahisi...lakini sasa jasho linawatoka kwenye meno. Hawathubutu tena kuwaua wabunge wao ref: Horance Kolimba and others
 
CCM Inaweza ikaendelea kutawala kwa sababu nchi hii ina wajinga wengi
 
Back
Top Bottom