princesslwyr
Senior Member
- Oct 11, 2016
- 130
- 71
Tutajisikia Fresh tuu
Kwahiyo Membe akiingia Ikulu 2020 na Magufuli akatoka ndio ccm imetoka na kuingia upinzani?Usitake kuua hiyo soo kwa hoja yako hii isio na mashiko!
Hapo ndo tunafeliKwahiyo Membe akiingia Ikulu 2020 na Magufuli akatoka ndio ccm imetoka na kuingia upinzani?
Nyie ni vipofu
Sasa unataka Lissu aongelewe kila siku?Akili mmeweka wapi?Lissu kwao sasa ni rubbish!
Nyie si mapumbavu! Na 2020 msije kulialia hapa kwamba mmeibiwa kuraSasa unataka Lissu aongelewe kila siku?Akili mmeweka wapi?
Kama makatibu wakuu wastaafu wa CCM mnawaona rubbish,wewe ni nani uliyeko CCM ambaye si takataka?Tena pengine ni mwanachama wa kawaida,utakuwa ni rubbish mara 20 zaidi ya Lissu!!!!
Umepanic mkuu,tuliza kizibo ujadili hoja bila mihemko!Teh teh teh!Nyie si mapumbavu! Na 2020 msije kulialia hapa kwamba mmeibiwa kura
Kwahiyo Membe akiingia Ikulu 2020 na Magufuli akatoka ndio ccm imetoka na kuingia upinzani?
Nyie ni vipofu
HakikaHoja Rostam na Membe wapo Watanzania wasioridhika na mambo ni haki yao ya msingi.