Ya Madeleka yanaweza kumpata Mbowe

WAJARIBU KUFUFUA MAKABURI WALIOTUKOPESHA WATATAKA FEDHA ZAO
 
Amfunge Mbowe ili akiwa anaenda nje azomewe[emoji16]
 
Mtu asiyejua chochote ndio anaweza kuchukulia serious maamuzi ya mahakama zetu. Rostam aliweka wazi kuwa mahakama zinaweza kupigiwa simu na kupangiwa aina ya hukumu. Kwenye ile kesi ya Mbowe ndio nilizidharau mahakama zetu moja kwa moja. Ni kweli kesi ya Mbowe inaweza kufufuliwa lakini sio kwa ushahidi wa kesi ile, bali kwa kumkomoa Mbowe. Ni mahakama fulani za kishenzi mno.
 
Sasa wewe unadhani upumbavu wa namna hiyo utaachwa uendelee Tanzania hadi lini?

Hili swali mnadhani halistahili kupata jibu?
 
Kwani Samia hajipendi?
 
Vipi anayekuteua anasema utafanya nitakavyo au laa?unafikiri jibu la mteuliwa,na huo ndio ugali waka yeye atasemaje?Bila shaka nitafanya utakavyo.
 
Uliona Mbali balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…