Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,240
|
| Xbox one sio game tu bali ni top-box lina vitu kama hdmi na tv-box |
|
| Muonekano wa xbox ni kama ule wa windows 8 |
|
| ARE YOU READY? Messi, Ronaldo, ibracadabra, hazard, vanpersie, falcao |
|
| Pad ya xbox one ikiwa na muonekano mpya |
|
| Kinetic mpya inayoreceive voice na camera ya mbele |
Mkuu chief-mkwawa yaani ungejua tu kuwa people are not even excited in Xbox One hata usingesema. Embu fuatilia huu mjadala HAPA.
mkuu mimi si mpenzi wa x-box na wala ninapotoka hazipatikan sana watu wengi tunacheza ps.
ila hawa jamaa xbox wanajua kuvutia watu na gamers. xbox la 2005 hadi january mwaka huu lilikua ndo linauza sana kushinda hata game console za 2012.
hili limekaa kifamilia zaidi litazidi kuuza sana
Xbox 360 maybe...but Xbox One haijawavutia sana gamers. Sijui jamaa wameharibu wapi.
ngoja nikuambie wameharibu wap. wanataka kufanya a gaming console iwe a multimedia hub. sony walivyotoa PS3, walianza kuuza kwa strategy ya blu-ray ila wakagundua kuwa gamers are not excited with all that pizzash. mimi kama gamer, am not interested in having an IE in my console, au media player or all the many other funny add-ons they push into the consoles. PC's and dvd players are downright cheap, I want a console that just games
Na vipi kuhusu swala la graphics and Processor specs? maana according to the above conversation wengi wanasema PS3 is better than Xbox One.
Yaani kwa lolote vile kama Pro Gamer hata walete ps20 na xbox20 yani PC ndo mwisho wa matatizo always!
Yaani kwa lolote vile kama Pro Gamer hata walete ps20 na xbox20 yani PC ndo mwisho wa matatizo always!
Dah hyo conclusion yako balaa!!!
Thing is whatever you can do on a console I can do it on my PC plus naweza kucheza zile exclusive games za console on a pc using an emulator vile vile console games are freakin expensive geeez! Haya when new hardware comes along wale wa console you have to buy a new one example from ps2 to ps3 haya mimi the PC guy what do I do..simple I just upgrape my graphics card or ram anything that needs upgrade Thats y The PC will ultimately come on top