1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 439
- 1,754
Jana Wydad kakalishwa bao 1 nyumbani na Gwaneng Galaxy, viongozi na vyombo vya habari wamelalamika kuwa wa Bostwana hao wametumia mitishamba kuwafunga, wamedai haukuwa mchezo wa kawaida, wachezaji wao walikuwa wazito sana, pasi haziendi, magoli hayaingii, nimesikitika sana kweli Wydad timu kubwa ya afrika kulalamika kitoto namna hii, na nyie fanyeni tena nyie mna Kitabu kabisa ambacho ni suluhisho la matatio duniani.Piga kitabu cha maana muue ndumba hizo.
Mliofungwa 5 1 na utopolo kazi mnayo
Mliofungwa 5 1 na utopolo kazi mnayo