Wrong parking Arusha nitatizo

Wrong parking Arusha nitatizo

Twaha mora

Member
Joined
Mar 25, 2019
Posts
12
Reaction score
5
Leo nimepigwa faini ya uonevu kabisa sh 61,800 ,kisa nimegesha Gari pembeni kabisa ya barabara ilinpokee mzigo alie niletea nikafungua mlango Na kushuka kumpokea ile napanda kwenye Gari nakutana Na chuma kwenye Tairi,nimetafuta kila aina ya usaidizi nimekosa ,anae elewa pakupatia haki yangu anijuze ,nimeenda kukopa hio hela ya kulipa natamani kurudishiwa jasho langu
 
Leo nimepigwa faini ya uonevu kabisa sh 61,800 ,kisa nimegesha Gari pembeni kabisa ya barabara ilinpokee mzigo alie niletea nikafungua mlango Na kushuka kumpokea ile napanda kwenye Gari nakutana Na chuma kwenye Tairi,nimetafuta kila aina ya usaidizi nimekosa ,anae elewa pakupatia haki yangu anijuze ,nimeenda kukopa hio hela ya kulipa natamani kurudishiwa jasho langu
Hio ndo imetoka bro, hicho ni chanzo muhimu cha kuongeza mapato kwa wenye mamlaka. Nakumbuka siku za nyuma kuna mzee mmoja walifunga gari yake pale clock tower, alivyokuja akawaonba wamufungulie gari yake ili awalipe wakakata ati hadi wapewe hela. Akatoa bastola ya na kuwalaza chini wote. Chuma walifungua wakiwa wamelala chini na hakuwapa hata 100.
 
Leo nimepigwa faini ya uonevu kabisa sh 61,800 ,kisa nimegesha Gari pembeni kabisa ya barabara ilinpokee mzigo alie niletea nikafungua mlango Na kushuka kumpokea ile napanda kwenye Gari nakutana Na chuma kwenye Tairi,nimetafuta kila aina ya usaidizi nimekosa ,anae elewa pakupatia haki yangu anijuze ,nimeenda kukopa hio hela ya kulipa natamani kurudishiwa jasho langu
hiyo ni serikali ya CCM, wewe inaonekana ni mwalimu mstaafu umenunua pikap, sasa unavuna ulichopanda MAANA NYIE NDIO MNAIPIGIA CCM kura kila mwaka, pumb****
 
hiyo ni serikali ya CCM, wewe inaonekana ni mwalimu mstaafu umenunua pikap, sasa unavuna ulichopanda MAANA NYIE NDIO MNAIPIGIA CCM kura kila mwaka, pumb****
Mambo ya vyama yanatoka wapi? Huu uonevu haulizi wewe Ni chama gani kinachotakiwa tupaze sauti ili ziwafikie huko juu,sio kukatishana tamaa Na kuingiza uvyama
 
Ninavyojua mikataba mingi, mfano ya DSM ilikuwa Kama unapark gari kwa dharura au muda mfupi sema dk 10 siyo kosa.
Hili nakumbuka Mkurugenzi wa moja ya manispaa alilieleza mara nyingi kwenye vyombo vya habari.
Kama unaweza ukaenda manispaa kulalamika naamini unaweza kupata msaada. Tatizo la wengi uwa hatuchukui hatua
 
Mambo ya vyama yanatoka wapi? Huu uonevu haulizi wewe Ni chama gani kinachotakiwa tupaze sauti ili ziwafikie huko juu,sio kukatishana tamaa Na kuingiza uvyama
[/QUOTE]

Kweli kabisa, wengi wa wananchi wanaogopa sana mahakama, nendeni huko, lakini pia ukimwona
 
Mambo ya vyama yanatoka wapi? Huu uonevu haulizi wewe Ni chama gani kinachotakiwa tupaze sauti ili ziwafikie huko juu,sio kukatishana tamaa Na kuingiza uvyama
waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba wewe
 
Back
Top Bottom