Wrong parking agent...usumbufu sana

Wrong parking agent...usumbufu sana

patanoo

Senior Member
Joined
Dec 1, 2017
Posts
182
Reaction score
140
Niende kwenye hoja husika , jaman hawa jamaa wa wrong parking wanasumbu sana hasa kwa hapa Arusha, sijui sheria inasemaje unakuta umepata emejenci unamsubir mtu aje muuondoke gafla wanatokea na kukupiga cheni tena dereva akiwa ndani ya gari..je hi ipo sawa sheria inasemaje. Pil niombe uongoz wa majiji yetu yaweke ishara ya No parking ya sehemu zisizo ruhusiwa ili kuondoa usumbufu kwa madereva hasa wale wageni hata kwa wenyeji pia.
 
Kwanza inabidi ujue hapo ulipokuwa umepark je hauruhusiwi kupark au kupark na kuegesha
 
Ukipaki sehemu siyo sahihi kwa dharura, usishuke ndani ya gari, na uwashe hazard, ikiwezekana shuka weka triangle mbele na nyuma rudi ndani ya gari...

Ukiulizwa sema gari imepata break down...


Cc: mahondaw
 
Niende kwenye hoja husika , jaman hawa jamaa wa wrong parking wanasumbu sana hasa kwa hapa Arusha, sijui sheria inasemaje unakuta umepata emejenci unamsubir mtu aje muuondoke gafla wanatokea na kukupiga cheni tena dereva akiwa ndani ya gari..je hi ipo sawa sheria inasemaje. Pil niombe uongoz wa majiji yetu yaweke ishara ya No parking ya sehemu zisizo ruhusiwa ili kuondoa usumbufu kwa madereva hasa wale wageni hata kwa wenyeji pia.
Ni kweli kuna usumbufu unaosababishwa na baadhi ya watendaji.Lakini hata wewe unapaswa kuhakikisha kuwa unapoegesha gari lako kwa dharura ufuate taratibu na uchukuwe tahadhari ya kiusalama katika eneo hilo kutegemeana na katazo la kuegesha katika eneo husika.
Kwa upande wa wahusika mimi nasikitika sana pale ambapo eneo rasmi la maegesho MISTARI HAIONEKANI KABISA! Na wale vijana wakiffika inawachukua dakika10 wao wenyewe kutafuta mstari
Kwa nini mamlaka husika wasiweke mistari ili ituondolee usumbufu?
 
Ni kweli kuna usumbufu unaosababishwa na baadhi ya watendaji.Lakini hata wewe unapaswa kuhakikisha kuwa unapoegesha gari lako kwa dharura ufuate taratibu na uchukuwe tahadhari ya kiusalama katika eneo hilo kutegemeana na katazo la kuegesha katika eneo husika.
Kwa upande wa wahusika mimi nasikitika sana pale ambapo eneo rasmi la maegesho MISTARI HAIONEKANI KABISA! Na wale vijana wakiffika inawachukua dakika10 wao wenyewe kutafuta mstari
Kwa nini mamlaka husika wasiweke mistari ili ituondolee usumbufu?
Mamlaka husika wanaweza kuchora hiyo misitari sema mpaka Magufuli aseme na wao kesho yake watatekeleza maana sasa watu wote wenye kazi zao wanamsubiri Magu awakumbushe majukumu yao!!
 
Niende kwenye hoja husika , jaman hawa jamaa wa wrong parking wanasumbu sana hasa kwa hapa Arusha, sijui sheria inasemaje unakuta umepata emejenci unamsubir mtu aje muuondoke gafla wanatokea na kukupiga cheni tena dereva akiwa ndani ya gari..je hi ipo sawa sheria inasemaje. Pil niombe uongoz wa majiji yetu yaweke ishara ya No parking ya sehemu zisizo ruhusiwa ili kuondoa usumbufu kwa madereva hasa wale wageni hata kwa wenyeji pia.
aisee,wanajiita sjui tarura nini gani,huenda wanatekeleza wajibu wao kisheria lakin hebu fikiria mtu anaishi mtwara,amesafiri kwenda bukoba huko ugenini atajuaje kuwa hapa ni wrong parking bila kibao cha kunotify?????siku moja bhn tumetoka songea na mshikaji wangu,tulianza safar saa tatu usiku,kesho yake mida ya saa tano tukafika Singida,ukiwa na ile barabara ya manispaa unapandisha kwny junction ya TRA (arusha road),tukasimama pale jirani na stand ya zamani,hakuna kibao chchte kinaonesha wrong parking,akatokea jamaa na kizbao chake,kabeba chain kubwa ina misumari,hajatusemesha akataka kubana tairi,,,,,,,(gari ni tinted), mshikaji wangu akashuka kwa ghadhabu mkuu,alimrusha rusha pale balaa,baadae tukaachana nae na akarud na chain yake,bora wakiweka alama za wrong parking ili wakosaji wawe wamekiuka makusudi
 
hayo matatizo yapo kila mkoa nilipark kumsubiri jamaa dukani mnazi mmoja kwenye vitenge ni kitendo cha dakika 5 tu na gari sikuzima na double hazard nimewasha jamaa palepale wakafika wakanikamata nikawambia ndio sasa hivi nimepark na unaona hazrd nimewasha wakasema kosa huku na huku wakachukua elfu 20 kesho yake nikaenda offisi yao nyuma ya jmall samora nikamueleza boss wao akasema ungepiga picha gari kama uliwasha double hazard
 
hayo matatizo yapo kila mkoa nilipark kumsubiri jamaa dukani mnazi mmoja kwenye vitenge ni kitendo cha dakika 5 tu na gari sikuzima na double hazard nimewasha jamaa palepale wakafika wakanikamata nikawambia ndio sasa hivi nimepark na unaona hazrd nimewasha wakasema kosa huku na huku wakachukua elfu 20 kesho yake nikaenda offisi yao nyuma ya jmall samora nikamueleza boss wao akasema ungepiga picha gari kama uliwasha double hazard
Yaani otoke kwenye gari upige picha..hawa watu wasumbufu sana, sioni tatizo lipo wapi ya wao kuweka vibao vya no parking khepusha usumbufu au kuchora ile mistari ionekane
 
Sasa hivi wamekuja na kucheki kama gari yako inamwaga oil wakikuta wanapiga cheni..fain nasikia ni laki 3
 
Back
Top Bottom