Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 May 19, 2014 #21 NAMTUMBA said: Komaa hivyohivyo kamanda usiiangalie. Sasa imegeuka kuwa Tv ya CCM. Ukweli ndo huo. Click to expand... Wala sio uCCM ila wana vipindi vilivyopitwa na wakati
NAMTUMBA said: Komaa hivyohivyo kamanda usiiangalie. Sasa imegeuka kuwa Tv ya CCM. Ukweli ndo huo. Click to expand... Wala sio uCCM ila wana vipindi vilivyopitwa na wakati
jaffari yogo JF-Expert Member Joined Apr 3, 2014 Posts 685 Reaction score 148 May 19, 2014 #22 Bulldog said: Wala sio uCCM ila wana vipindi vilivyopitwa na wakati Click to expand... Kama vipi gani?
Bulldog said: Wala sio uCCM ila wana vipindi vilivyopitwa na wakati Click to expand... Kama vipi gani?
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,331 May 19, 2014 #23 Teueni mgombea ambaye atakidhi matarajio ya Watanzania. Watanzania tunataka mabadiliko. Tusipoyapata ndani ya CCM tutayatafuta nje ya CCM. Hotuba hii ya Mwalimu iko valid mpaka leo hii. #Maintarahamwe yaisikilize kwa makini sana. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Teueni mgombea ambaye atakidhi matarajio ya Watanzania. Watanzania tunataka mabadiliko. Tusipoyapata ndani ya CCM tutayatafuta nje ya CCM. Hotuba hii ya Mwalimu iko valid mpaka leo hii. #Maintarahamwe yaisikilize kwa makini sana.
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 May 20, 2014 #24 jaffari yogo said: Kama vipi gani? Click to expand... Sijui kwasababu siangalii na TVT walikuwa wanaonesha vipindi vya kizamani sana
jaffari yogo said: Kama vipi gani? Click to expand... Sijui kwasababu siangalii na TVT walikuwa wanaonesha vipindi vya kizamani sana