sheria hio mkuu itafanyiwa kazi labda kama yule mchezaji anakuwa keeper anaruhusiwa kudaka kama haruhusiwi inamaanisha yuko in-active ambayo inapingana na sheria zingine za kwenye soka.wanasheria wataifanyia kazi.
i hope sasa south africa will take the 3 points nataka wasonge second stage sana japo kuwa kiwango chao kimeshuka sema nyumbani ni nyumbani na mcheza kwao utuzwa.