Brazil ya mwaka huu nayo inaonyesha udhaifu, haiwezekani mcheze na timu mbovu kama hii mpaka sasa hamjafunga hata goli moja, kama ni hv watapata tabu kwa ivory coast na ureno
Wanawanyima nafasi lakini hii style mara nyingi mabeki wanaishiaga kuchoka kwa vile inaleta mashambulizi mengi,baada hapo wakichoka ndio mvua inaanza sasa ya magoili manake wakiachia kimoja watalizika na wao kupanda.
I believe!...
brazil kuganda golin kwa n.korea kutazaa goli mana always mgagaa na upwa hali wali mkavu!...but pia naamin N.korea waweza kufunga kwa counter attack...nimeliona hili pia!
Basi huyu yuko emotional sana,au mara ya kwanza anacheza WC nini..sijawahi kulia nikiimba wimbo wa taifa..
BTW,yani mpaka sasa Brazil hawajafunga goli ina mana hawa N.Korea ni wakali hivyo?!..ha ha
Ila kubutua nako wanabutua! Toka hii mech imeanza! Sanaaaa cjui kwa kuwa kujaribu si kushindwa!! Haaa! Yani goli liko kati butuo linapaa juu tena pembani yagoli kulia/kushoto...duuu..