NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Braza unatakiwa ku justify kwamba nyie sio matapeli, kuwa na ofisi, kuregister kampuni, address haitoshi kwa justification.
Hata Richmond walikuwa na ofisi lakini walitutapeli.
Pia jaribuni kuwa na proper e-mail address and NOT yahoo things.
Give us references who have benefited so far with your business na siyo kusema tu ofisi zako wapi.
Unajua watanzania wameshachoka na utapeli wa nchi ndo that's why you see people are sensitive.
Sijapenda majibu yake hata kidogo,
inafaa ajue kwamba JF kuna watu wenye uwezo wa kufikiria mpaka ukucha!, Hakuna vilaza humu anaubabe wa kizamaaaaani na huku mtaani utakuta anajiita marketing officer!,
Kama strateji yako ya kumaket hiyo kitu ilikua JF umewapata wadau wanakupopoa sasa, na unashindwa kusema.
KUNA BAADHI YA VITU NI VIGUMU KUFANYIKA KWENYE BAADHI YA MAZINGIRA!
Haikuwa furaha mwanzoni coz nilosoma maneno yako yalikua yanaambatana na Kejeli, Mtu akiuliza anahitaji kujua na wala hakuna haja ya kusema inaonekana hajui, Yesssssssssssssssss, ndo maana ameuliza!
:Nani aliokwambia JF hapafai kwa haya matangazo ya kutafuta wafanya kazi? Hapa ni best place ever, 50 applicants in one day. Can you beat that?:
Do i need???
Anyway safari njema!
Tatizo lako ur taking much of ur time kujitetea na kuitetea hiyo bidhaa yako bila kueleza nini hasa kinachouzwa. Sijaona mahali unataja nini hasa unatakiwa kufanya nani walengwa hasa wa hii biashara, kiwango cha ufahamu. Nimesoma kila kitu lakini nimeambulia patupu. Tell us vividly nini hasa kinachouzwa na huyo anayetaka hiyo kazi atatakiwa kufanya nini?
naona wengi wana hamu ya kujuwa hii rfid ni nini hasa, naomba fata hii link (hiyo hapo chini) itakupatia pdf document inayoelezea vilivyo ni nini rfid na wapi hutumika na kwa nini hutumika:
http://www.falkensecurenetworks.com/pdfs/a_primer_on_rfid.pdf
BSCltd
Tanzania ina watu kama million 45, wengi wao wanaishi kwa dola moja kwa siku unategemea waweze kweli kuuza hizo RIFD or whatever ypu call them online ili nani anunue? Je, huko Canada umeshindwa kupata wateja au USA ambao wako karibu kabisa na Canada na raia wao wengi wanaishi angalau kwa dola 20 kwa siku?
Vipi biashara ya visima inalipa?
Mods ondoa taka taka hii
Mods ondoa taka taka hii
1) Nadhani mpaka sasa kinachokutatiza ni kuwa hujaelewa maana ya "sell from home" unaichanganya na "kuuza online". La hasha, "sell from home" tunayoimaanisha hapa, ni kuwa huna haja ya ku-report ofisini, unaanzia kuuza nyumbani unamalizia kuuza nyumbani, kwetu zinakuja "reports" na support zozote utazohitaji zitakufikia nyumbani. Kuuza kutoka nyumbani si kuuza "on line" kama unavyodhani na si kwamba utapohitajika kumuona "mteja wao" utabaki hapo nyumbani tu, no! utaenda kutokea huko huko kwako (from home). Mradi ujuwe tu unachokifanya......................
Hivi how is it easy to sell from home something that u can not sell from one house to another. Nachoelewa from home or house unaweza kuuza viatu lotion, vyombo vya ndani, home appliacecama TV passi cookers . na sio RFID. Huwezi kuwa mwanayanymala hata mbezi au Msaki ukauza RFID. utahitaji kwenda posta au KKooo.
RFI ni buiness inahitaji contrarcta na tender. RFID ni business kama unataka kufanikiwa unahitaji full time employed staff to market
kuna business or bidhaa amabazo unaweza kufanya from home or online na ni mahitaji ya kila mtu au kila nyumba regardless of location. mimi nadhani hujui nature na aina ya business inayofaa kufanyika from home or online.
Narudia tena RFID is the last business one can can do effciently or proifitably from whataver you call it home or online
May be hujafanya business analysis na requiment yako vizuri.
Nikitoka porini nitakuja hapo dar nione
Business Services & Consultancy Ltd. (BSC), based in Dar Es Salaam, Tanzania. Has the following "work from home vacancies":
Sales Executive / Sales Engineer RFID Solutions.
Selling RFID solutions.
BSC has partnered with FALKEN Secure Networks in selling their products in Tanzania. FALKEN Secure Networks is a specialized system integrator and value-added reseller headquartered in the Greater Toronto Area with branch locations in London, Hamilton, Ottawa and Calgary, which serves both domestic and international enterprises with industry-leading technology for secure communications integrated with corporate networks.
FSN was founded with the mission to provide world-class integrated enterprise solutions to the growing and increasingly sophisticated threats from viruses, phishing and malware, internal and external information breaches, identity theft, email interception and to protect citizens, governments and enterprise brands by ensuring compliance with the variety of privacy and security regulations in force. The emerging corporate need of secure RFID Network solutions is also provided by FSN.
To excel on this mandate, FSN has partnered with strength - the global leaders in Information Encryption, Secure File Transfer, Identity Validation, Data Loss Prevention, Secure Email Retention and Archiving, Voice Encryption and Next Generation Secure RFID Networks. FSN and our partners add their own industry-specific expertise, with a joint commitment of helping deliver email security, data loss prevention and networked RFID solutions that are designed to meet and exceed the varied and complex needs of our customers. In addition, our flexible application solutions may be provided on a Hosted, Managed Service basis or on-premise as customer requirements dictate.
Requirements:
Be able to sell independently.
Conditions:
We hire on sales commission basis. No Salary. No Expenses reimbursement. No hidden charges. No nauli.
If you can sell, you can make money, if you can not sell, forget making money.
"state of the art RFID" products.
If you are interested and for more information:
website: Falken Secure Networks
Send your CV to: yourbsc2010@yahoo.com
Or Please Call: +255 754 484384 , do not beep.