Women day message. Ride Or Die Men Are extinct. Kutafuta pesa ni rahisi kuliko kutafuta wanaume

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Praise The Lord!

It is tradition kila mwaka siku ya mwanamke duniani lazima nitoe my 2 cents humu Jf, and this year hatutovunja that tradition.

Kwanza natoa shout out kwa CRDB bank siku yaleo tarehe 7, wamemuenzi mwanamke kwa wanawake wote hatujakaaa foleni. Kwenu wanaume kitakuwa kitu kidogo ila kwa sisi wanawake ambao tunajua uchungu wa kunyanyaswa kijinsia ni kitu kikubwa sanaa kuheshimiwa, na kuenziwa na bank yetu, bank mama la mama, bank la uhakika CRDB. Nimependaaaa sanaa ukizingatia kesho nasafiri, leo mwanamke mwenye mdomo mdomo mmenienzi. Mbarikiwe sanaaa. Na dada yangu Magilwa wa Azikiwe Branch na mlinzi wa kike jina sikukupata mwaka huu msipopewa bonus kwa huduma nzuri mje kwangu kushtaki nami nitawaombea kwa Mungu wangu awateteee. Wanawake Oyeeeeee. Mtu mwanamke.

Sitorudia kwa mapana jinsi gani wanawake tunanyanyasika sababu hilo liko wazi, mara ya mwisho kumnunulia mkeo kitu lini? Pigia jibu mstari. Rudia mada zangu za nyuma ndo utajua jinsi gani wanawake tunanyanyasikaaa.

Kwanza siku hizi mjini hakuna ride or die men, kabisaaa. Wanaume siku hizi ni ujanja ujanja mwingiiii tu. Haki nakwambia MEN CAN NO LONGER HANDLE THE TRUTH. Wanapenda kudanganywa danganywaa na kuambiwa mambo mazuri mazuri.

story imepotea waliosoma jana wamefaidi
 
Praise The Lord!

It is tradition kila mwaka siku ya mwanamke duniani lazima nitoe my 2 cents humu Jf, and this year hatutovunja that tradition.

Kwanza natoa shout out kwa CRDB bank siku yaleo tarehe 7, wamemuenzi mwanamke kwa wanawake wote hatujakaaa foleni. Kwenu wanaume kitakuwa kitu kidogo ila kwa sisi wanawake ambao tunajua uchungu wa kunyanyaswa kijinsia ni kitu kikubwa sanaa kuheshimiwa, na kuenziwa na bank yetu, bank mama la mama, bank la uhakika CRDB. Nimependaaaa sanaa ukizingatia kesho nasafiri, leo mwanamke mwenye mdomo mdomo mmenienzi. Mbarikiwe sanaaa. Na dada yangu Magilwa wa Azikiwe Branch na mlinzi wa kike jina sikukupata mwaka huu msipopewa bonus kwa huduma nzuri mje kwangu kushtaki nami nitawaombea kwa Mungu wangu awateteee. Wanawake Oyeeeeee. Mtu mwanamke.

Sitorudia kwa mapana jinsi gani wanawake tunanyanyasika sababu hilo liko wazi, mara ya mwisho kumnunulia mkeo kitu lini? Pigia jibu mstari. Rudia mada zangu za nyuma ndo utajua jinsi gani wanawake tunanyanyasikaaa.

Kwanza siku hizi mjini hakuna ride or die men, kabisaaa. Wanaume siku hizi ni ujanja ujanja mwingiiii tu. Haki nakwambia MEN CAN NO LONGER HANDLE THE TRUTH. Wanapenda kudanganywa danganywaa na kuambiwa mambo mazuri mazuri.

story imepotea waliosoma jana wamefaidi
Ukitaka kujua bado fit angali mnavyokimbizana na vitenge siku ya mwanamke duniani. Lengo la hiyo ni kujipambanua kuwa mnaweza kama wanaume.
 
Praise The Lord!

It is tradition kila mwaka siku ya mwanamke duniani lazima nitoe my 2 cents humu Jf, and this year hatutovunja that tradition.

Kwanza natoa shout out kwa CRDB bank siku yaleo tarehe 7, wamemuenzi mwanamke kwa wanawake wote hatujakaaa foleni. Kwenu wanaume kitakuwa kitu kidogo ila kwa sisi wanawake ambao tunajua uchungu wa kunyanyaswa kijinsia ni kitu kikubwa sanaa kuheshimiwa, na kuenziwa na bank yetu, bank mama la mama, bank la uhakika CRDB. Nimependaaaa sanaa ukizingatia kesho nasafiri, leo mwanamke mwenye mdomo mdomo mmenienzi. Mbarikiwe sanaaa. Na dada yangu Magilwa wa Azikiwe Branch na mlinzi wa kike jina sikukupata mwaka huu msipopewa bonus kwa huduma nzuri mje kwangu kushtaki nami nitawaombea kwa Mungu wangu awateteee. Wanawake Oyeeeeee. Mtu mwanamke.

Sitorudia kwa mapana jinsi gani wanawake tunanyanyasika sababu hilo liko wazi, mara ya mwisho kumnunulia mkeo kitu lini? Pigia jibu mstari. Rudia mada zangu za nyuma ndo utajua jinsi gani wanawake tunanyanyasikaaa.

Kwanza siku hizi mjini hakuna ride or die men, kabisaaa. Wanaume siku hizi ni ujanja ujanja mwingiiii tu. Haki nakwambia MEN CAN NO LONGER HANDLE THE TRUTH. Wanapenda kudanganywa danganywaa na kuambiwa mambo mazuri mazuri.

story imepotea waliosoma jana wamefaidi
Duh

Hongera zenu wanawake
 
siku ya wanawake unamalizia hasira kwa wanaume punguza streess we respect you guys much
 
Certainly men are nearly extinct to own one you need to have a very rich heart
 
Back
Top Bottom