Mtz.mzalendo
JF-Expert Member
- Jul 22, 2012
- 357
- 49
Hivi hii imekaaje
wadau? Yaani shule mwaka uliopita zimeingia kwenye top.10 ila mwaka huu
upo kwenye kumi mbovu...ikiwa walimu na miundo mbinu yote ni
ileile...nazungumzia st.mary na green acers
walimu ni walewale,
miundo mbinu ni ile ile,
shule ni ile ile,
vitabu ni vile vile,
swali.
Wanafunzi waliofanya mtihani mwaka juzi na waliofanya mwaka jana ni walewale?
Thea4,wala hakuna tatizo lolote hapo.
Wanafunzi walewale?
Tatizo lipo,ingekuwa kutoka ni kwenye top.20 tu,isingukuwa tatizo..lakini kumi mbaya?sio kawaida.. Hapa kuna kitu nyuma ya pazia
Hivi hii imekaaje wadau? Yaani shule mwaka uliopita zimeingia kwenye top.10 ila mwaka huu upo kwenye kumi mbovu...ikiwa walimu na miundo mbinu yote ni ileile...nazungumzia st.mary na green acers
Kila kitu ni kilekile ila wanafunzi ndo wamebadilika.Huoni ni sababu tosha ya kupata matokeo hayo?
Unaonekana huna ufahamu na maswala ya kielimu zaidi ya ushanta na umbea kwenye taaluma ziziso kuhusu.
Kufaulu ni uwezo binafsi wa mwanafunzi na kujituma,Hivyo kama wanafunzi mwaka huu hawakutia nguvu kwa kufikiri wako kwenye shule inayofaulisha watakuwa wamejifelisha wenyewe na si suala la uwizi wa mitihani/jina la shule.