Wizi wa Magari ya Korosho Mtwara

Wizi wa Magari ya Korosho Mtwara

Songambele

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2007
Posts
4,717
Reaction score
2,594
Kama ilivyo ada JF ni paa la bati, juzi ilitolewa taarifa katika radio za mtwara kwamba gari semi trailer mbili zimepotea katika mazingira ya kutatanisha na kufikisha idadi ya magari matatu ndani ya siku mbili.

Korosho imekuwa dhahabu na kwa lugha ya kitaa gunia tatu ni zaidi ya milioni. Yaani lorry moja lina zaidi ya gunia mia 500. Manake wahuni ndani ya siku mbili wamepiga nusu bilioni bila bunduki kulia na hajaumizwa mtu.

Miezi michache iliyopita wahuni walipita na lorry la cement kitoka Dangote likakamatiwa Mtwara town na watu wakimalizia kushusha mifuko ya mwisho tena baada ya kuzinguana wenyewe.

Inawezekana vipi kuiba lorry zima zima pamoja na ulinzi mkali wa korosho mtwara, wengine tuliwahi sema kuhusu barriers barabarani lakini uwezi amini watu wametusua.

Za kijiweni zinasema gari zinaenda kuchukua mzigo na namba za pikipiki bush wakifika town wanaweka namba halisi na wanasepa na korosho. Tunaandika sababu mwisho wa siku msiseme mkulima ndio kapoteza wakati alishakabidhi korosho ghalani.

Mwisho jamani wahusika wakumbusheni matumizi sahihi ya pesa, wiki iliyopita kuna mzee kavuta baada ya kupatamstuko wa pesa nyingi alizolipwa zaidi ya 30M ghafla na vijana wanahasira na boda boda. Wakumbuke na kuna watu wananyatia pesa zao.
 
Hao hao madalali,wakamatwe wao ndio wanawashawishi madereva,mbona wanajulikana.
 
Kama ilivyo ada JF ni paa la bati, juzi ilitolewa taarifa katika radio za mtwara kwamba gari semi trailer mbili zimepotea katika mazingira ya kutatanisha na kufikisha idadi ya magari matatu ndani ya siku mbili.

Korosho imekuwa dhahabu na kwa lugha ya kitaa gunia tatu ni zaidi ya milioni. Yaani lorry moja lina zaidi ya gunia mia 500. Manake wahuni ndani ya siku mbili wamepiga nusu bilioni bila bunduki kulia na hajaumizwa mtu.

Miezi michache iliyopita wahuni walipita na lorry la cement kitoka Dangote likakamatiwa Mtwara town na watu wakimalizia kushusha mifuko ya mwisho tena baada ya kuzinguana wenyewe.

Inawezekana vipi kuiba lorry zima zima pamoja na ulinzi mkali wa korosho mtwara, wengine tuliwahi sema kuhusu barriers barabarani lakini uwezi amini watu wametusua.

Za kijiweni zinasema gari zinaenda kuchukua mzigo na namba za pikipiki bush wakifika town wanaweka namba halisi na wanasepa na korosho. Tunaandika sababu mwisho wa siku msiseme mkulima ndio kapoteza wakati alishakabidhi korosho ghalani.

Mwisho jamani wahusika wakumbusheni matumizi sahihi ya pesa, wiki iliyopita kuna mzee kavuta baada ya kupatamstuko wa pesa nyingi alizolipwa zaidi ya 30M ghafla na vijana wanahasira na boda boda. Wakumbuke na kuna watu wananyatia pesa zao.
We mzee wa Chinokole hata hueleweki ulichotaka kutuhabarisha! Mara magari ya korosho yameibiwa, mara mzee kapata mshtuko! Mara vijana na Bodaboda! Wamwera bana! Andika kwa utulivu ueleweke kabla hujapitia kwa Katebo.
 
We mzee wa Chinokole hata hueleweki ulichotaka kutuhabarisha! Mara magari ya korosho yameibiwa, mara mzee kapata mshtuko! Mara vijana na Bodaboda! Wamwera bana! Andika kwa utulivu ueleweke kabla hujapitia kwa Katebo.

Ukisoma between lines utaelewa tu, sema chagua kipande kinachokuvutia. Hapa umeambiwa nyie wamatumbi nouma mnaiba gari zima la korosho tena lorry hapa ndio linastua pamoja na ulinzi mlioweka lakini watu wana track mpaka naliendele then rada zenu hazisomi.

Hiyo main na nyongeza watu wanapata pesa ambazo hawajajiandaa kuzitumia zinawatanguliza mbele ya haki badala ya kula bata na kuacha samaki nchanga.

Vijana wanaona boda boda ndio fursa pekee waambie madili mengine. Hapa bado hujaelewa punguzeni kunywa mchuzi na magozi ya ng'ombe ili mpate akili wenzenu wanaelewa fasta humu JF unachokoza watu wafikiri sio kutafuniwa kila kitu.
 
We mzee wa Chinokole hata hueleweki ulichotaka kutuhabarisha! Mara magari ya korosho yameibiwa, mara mzee kapata mshtuko! Mara vijana na Bodaboda! Wamwera bana! Andika kwa utulivu ueleweke kabla hujapitia kwa Katebo.

Inapendeza kuwe na habari za kwenu sio kila thread ni za kaskazini. Nisaidie kuweka Nyama mie ni raia mwema tu na nasikiliza radio local kupata content mchanganyiko.
 
Back
Top Bottom