B bnhai JF-Expert Member Jul 12, 2009 2,781 2,301 Oct 26, 2021 #1 Huu wizi umekithiri. Tahadhari inahitajika. Kuna ushirikiano mkubwa kati ya makondakta na wezi. Nimeshuhudia wizi Happy nation na Frester. Kuweni makini
Huu wizi umekithiri. Tahadhari inahitajika. Kuna ushirikiano mkubwa kati ya makondakta na wezi. Nimeshuhudia wizi Happy nation na Frester. Kuweni makini
Zeddicus Zu'l Zorander JF-Expert Member Aug 25, 2011 797 929 Oct 26, 2021 #2 Mimi Laptop yangu huwa nashuka nayo aisee, siamini ntu kabisa
wise boi JF-Expert Member Aug 9, 2017 363 794 Oct 26, 2021 #3 Uzi wako haujakamilika mkuu. Elezea wanaibaje ili uwape watu elimu ya kujikinga
chizcom JF-Expert Member Jul 31, 2016 7,581 15,722 Oct 26, 2021 #4 mabegi ambayo yana vifaa maalumu ni bora kukaa nalo kuliko kuweka juu siti.na kila mda unaitoa watu wakajua kunalaptop au vifaa muhimu.
mabegi ambayo yana vifaa maalumu ni bora kukaa nalo kuliko kuweka juu siti.na kila mda unaitoa watu wakajua kunalaptop au vifaa muhimu.
Anakata Senior Member Aug 4, 2020 172 252 Oct 26, 2021 #5 Siachi negi ndani ya basi, kwanza unaambiwa kabisa mzigo wa ndani siyo dhamana Yao, unaachaje?!
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 80,893 106,156 Oct 26, 2021 #6 KWANI HAKUNA TANGAZO ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO ova
Joan S JF-Expert Member Oct 26, 2021 2,382 9,503 Oct 26, 2021 #7 Vifaa vya muhimu km ivyo unatakiwa ukishuka kwenda msalani au kupata chakula, we shuka tu na begi lako. Dunia ya ss hakuna kumuamini mtu. Na ndiyo maana huwa wanasema kabisa mzigo wa ndani ulinzi ni juu yako abiria.
Vifaa vya muhimu km ivyo unatakiwa ukishuka kwenda msalani au kupata chakula, we shuka tu na begi lako. Dunia ya ss hakuna kumuamini mtu. Na ndiyo maana huwa wanasema kabisa mzigo wa ndani ulinzi ni juu yako abiria.
C CHECHEMLENDA JF-Expert Member Sep 19, 2021 253 344 Oct 26, 2021 #8 Mimi ni muhanga wa haya matukio. Huu wizi umekithiri na inaonekana kuna uswahiba kati ya wezi na wafanyakazi wa mabasi.
Mimi ni muhanga wa haya matukio. Huu wizi umekithiri na inaonekana kuna uswahiba kati ya wezi na wafanyakazi wa mabasi.
Nkuruvi JF-Expert Member Dec 1, 2014 563 536 Oct 26, 2021 #9 Ukiwa na Laptop kwenye basi, pakata begi lako mpaka ukifika. Wezi wengi sana kwenye mabasi
B bnhai JF-Expert Member Jul 12, 2009 2,781 2,301 Oct 26, 2021 Thread starter #10 Ukiweka begi lako juu, linasukumwa taratibu mpaka linasogea then linaondoka. Pia wanapuliza dawa au kunusishwa kitu, then unasinzia.
Ukiweka begi lako juu, linasukumwa taratibu mpaka linasogea then linaondoka. Pia wanapuliza dawa au kunusishwa kitu, then unasinzia.
BROKE BOYS JF-Expert Member Jan 12, 2019 13,218 39,052 Oct 26, 2021 #11 Qmmk nilipigwa mac book pro yangu hivihvi dar lux pumbavu sana nyie.