Haja vijana wetu mlioomba nafasi za koplo na constable wa UHAMIAJI, wametoa majina ya waliokidhi vigezo vya usaili jitazame ktk website ya mabo ya ndani
Kila la heri vijana.
kweli nimeziona , naona hata kajina kangu kapo ndani, shidah ni hio usaili sasa, this time cjui kutakuwa na uchakachuaji kama kawa ama ??? watoto wa wakulima tutapata na sisi ahueni??
kwa sasa short list imekuwa mapema kulingana na muda wa kwenda mafunzo ili watu wawahi kuingia depo..kwa sasa nafasi moja itagombewa na watu wawili...mfano nafasi za koplo shortlisted ni watu 296 gawa kwa mia inakuja 2 point kadhaa..angalau kuna possibility ya watu kupata ajira kwa hao shortlisted..wakuu jiandaeni kwa usaili this time chujio ni kali mno na kitapimwa kila kitu ulicho attach kwenye maombi ya kazi..so pitieni kila kona..kila la kheri katika usaili..msisahau vyeti halisi vya masomo na mafunzo(academic and leaving)..picha za passport size 2 za rangi.cheti halisi cha kuzaliwa.
kweli nimeziona , naona hata kajina kangu kapo ndani, shidah ni hio usaili sasa, this time cjui kutakuwa na uchakachuaji kama kawa ama ??? watoto wa wakulima tutapata na sisi ahueni??