Wito wa kugoma

Wito wa kugoma

Sangarara

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
13,104
Reaction score
5,665
Natoa wito kwa watanzania wote wanaojithamini na kithamini nchi yao,kugoma kwa namna yeyote ile kama ccm wataendelea kuwapuuza kwa kutupilia mbali maoni yao kuhusu katiba mpya.
UKAWA wanaweza kuwaongoza zoezi hili
 
Hili ni tatizo la ushabiki wa vyama .
 
Labda sio Watanzania! Hata CCM wawawekee vijiti machoni wataendelea kupeta tu, hawana mda. Chukulia mfano, kila mtu anawataka Ukawa warejee Bungeni, lakini hakuna aliyewakemea CCM kwa kuleta maoni ya Chama bungeni, Yani usuluhishi wa kukomalia Ukawa tu, CCM no!
 
Ndg Motoya Mbongo usikate tamaa,wanaowataka UKAWA warudi sio wananchi,ni watumwa wa ccm.Wananchi wanaiunga mkono ukawa ila hawana nafasi ya kutoa matamko
 
Mkuu, kwani wananchi wote si wana hatua yao muhimu ya kufanya maamuzi juu ya katiba mpya ambayo ni referendum? Iweje sasa uhamasishe waingilie kazi za bunge?
 
Ndg Motoya Mbongo usikate tamaa,wanaowataka UKAWA warudi sio wananchi,ni watumwa wa ccm.Wananchi wanaiunga mkono ukawa ila hawana nafasi ya kutoa matamko

wananchi gani wanaoiunga mkono ukawa?
 
Wewe ni joka! Huwezi kutushawishi kula tunda!. Kula mwenyewe uende jehanam peke yako!. Ukawa ukawa hapa hawaki mtu!
 
Labda sio Watanzania! Hata CCM wawawekee vijiti machoni wataendelea kupeta tu, hawana mda. Chukulia mfano, kila mtu anawataka Ukawa warejee Bungeni, lakini hakuna aliyewakemea CCM kwa kuleta maoni ya Chama bungeni, Yani usuluhishi wa kukomalia Ukawa tu, CCM no!

This is great thinking. CCM wamekwisha wapumbaza watu already.
 
Back
Top Bottom