THE OLDMANCHILD
New Member
- Jan 8, 2014
- 4
- 0
HI!Kwa wapenzi wa CHEDEMA Mkoa wa Kagera mtakubaliana nami kwamba vuguvugu za kuchukua vitongoji,mitaa,kata na hatimaye TAIFA Ifikapo 2015 zinasuasua kama sikusimama kabisa.Nimezunguka vijiji takribani wilaya zote na wananchi wengi vijana,wanawake na wazee wote mioyo yao na tumaini lao ni chadema lakini wanakosa viongozi wa kuwambia mipango,mikakati na msimamo wa chama juu madhira wanayoyapata wananchi kutoka kwa manyangau ccm.Mfano kwa mjibu wa wanachama BUKOBA MJINI ni takribani mwaka sasa ofisi za CHADEMA zimehamishwa na hazijulikani zilipo.Mikutano ya hadhara haiitishwi,madiwani wa chadema bkb mjini na mbunge Wanashirikiana na KAGASHEKI kuvuruga shughuli za Manispaa n.k OMBI LANGU RWAKATARE UPUNGUZE MAJUKUMU YA CHAMA KITAIFA UJE TUIBOMOE CCM BKB MJINI JIMBO LETU LIKONJENJE CCM WANAVUNAWALICHOPANDA