Wireless electrical appliances and lighting control

Joined
Oct 6, 2012
Posts
50
Reaction score
18
Wakuu habari,
Nngependa tujuzane hii kitu kwa undani zaidi, hasa wale wadau wa umeme na wireless sensors kwa ujumla. Nmekua inspired na vjana watundu haswa wa mitaani tu wanaobuni simple mechanisms zinazowezesha kucontrol taa pamoja na baadhi ya vifaa vya umeme wirelessly using mobile phones or simple sensors. Nikiwa kama electerical engineer mtarajiwa, nilikua interested na hii kitu. Sasa naomba tujuzane kinagaubaga kwa anaefahamu je ni components zipi basically zinahitajka kuperform iyo task? Hapa ni vema circuit, design and the whole thing in general vikawa simple na affordable, just for learning. Though bado ni mwanafunzi na sijawahi jifunza hii kitu darasani but i believe i can get something from you. :help:
 
Sasa unajiita Electrical Engineer?

Ok sasa itabidi kujua unajua nini mpaka sasa ili kuweza elezewa how you can accomplish that.

Ila kwenye designing hutakiwi kufanya kile kile alichofanya mwenzako ....so unachotakiwa kujua ni different components zinazoweza kuwezesha hilo (Sensors &Transducers (heat/temp sensor,light sensor,infrared sensor, smoke sensor ..plus all other devide that can transform one form of energy to another form(transducers),,,

Also learn about electronics components such as diode,zener diode,transistors,Integrated Circuit (IC) most of things nowsday are in IC mode.Know about Radio Frequency(RF),antenna ,receiver and Transmitter .......and related stuff.

Learn how to trigger circuit actual once you know about sensors and transducers is easy ..

Ukijua hivi au kama unajua basi unaweza design utakavyo!
 
Mkuu Demarco shukrani for your contribution. So far I am not an electrical engineer, bado mwanafunzi, thats why nkaja na iyo idea. Nna basics za baadhi ya vitu ulvovtaja, sensors, transducers, ICs, RF, etc and am working to know more. Ila my question ni vipi hao wanaodesgn kwa kutumia few and cheap components tena without kukaa darasani? Mfano wanaotumia cell phones as the control (kibongo bongo) do they really start from scratch? or just wannaassemble tu
 
Last edited by a moderator:
Kwa upande wa cellphone mara nyingi watu hutumia kwa namna hii; Unajua unapopiga simu na inapolia upande wa pili(simu iliyopigwa) ndio wapo pa kuanzia(kuna namna nyingi) .

Kwa namna gani?
In-order for the phone to ring ,the ringer must be energized(receive electrical signal that will be converted to voice(ring tone) with certain voltage depending on the threshold of the ringer type. So you can fetch parallel or remove complete the ringer and use that voltage signal as input to trigger the intended circuit....

So whenever you call that number you trigger the circuit that connected parallel to the ringer ....the circuit might be a light switch or anything ....other people use to trigger very dangerous stuff I cant say here .

The challenge of using this technique is that;ARe you the only one who can call that number?,like the number must be dedicated for that purpose...still what about people who call wrong number and it happen they call that number..??

Still ,...the thing is designing is about creativeness ; once you know signal flow ,characteristics and how different components react or being activated you can do (design) as you want ......even better than your teacher ...designing is free and open
 
Pole kwa kuhangaika kutafuta huo utalaamu Mkuu. Kwa kuwa ndo unaanza kujifunza, itabidi utumie DTMF decoder IC kama MT8870D ambayo utaiunganisha na simu yako(mobile au landline) kupitia headphone jack ya simu. Inabidi simu unayoitumia kama remote controller iwashwe DTMF tone ili unapobonyeza button (0-9,A-D,* na #) ya keypad, itoe tones ambazo utazisikia na receiver ui-set kwenye Auto Answer Mode ili ikipigiwa tu inapokea automatically. Wewe caller ukiona au kusikia simu yako imepokelewa automatically na receiver, unabonyeza key ambazo unataka either kuwashia taa au kufungulia kifaa cha umeme. Receiver inapokea milio ya key ulizobonyeza inazipeleka kwenye DTMF decoder ambayo inatafsiri kila mlio na kutoa 4-bit output kwenye pin nne za output. Wewe mwenyewe utaamua ni pin ipi ya DTMF decoder kati ya hizo nne, uitumie kuwashia taa, na ipi kuwashia TV na ipi ufanyie -----

Njia nyingine ila ngumu(hadi uchimbe kitabu) ni ya kutumia codes za AT & T Commands ku-control devices kutumia handset peripheral interfacing port (USB port etc) au wireless.
 

Kiongozi maelezo yako nimeyapenda,big up
 

Ngoja niingie chimbo
 

Mkuu thanks umenipa mahali pa kuanzia, ngoja nijaribu kustudy iyo kitu then ntarudi kwa feedback ntapofikia.
 
Hiyo DTMF decoder ni sh ngap?
Mkuu, DTMF decoder kaulize kwenye maduka ya electronics components sehemu ulipo ukikosa angalia kwenye mnada wa eBay ama Amazon. Unaweza ku-control device hadi 16 kwa wakati mmoja kwa kutumia hiyo DTMF decoder.
 
Kwani unataka kufanya project ya darasani????
Mimi nilifanya ku control home appliance by using bluetooth ya simu unabonyeza tu but tatzo lake ni ipo limited katika distance mwisho meter 100 na uzuri wake ni ina passcode zake so mwenye simu ndo anaweza kuitumia tu na haitegemei network ya mtandao na it is cheap na anyone can own it akiwa na simu....
Mahitaji ni
Mobile phone
Microcontroller
Bluetooth receiver and some few codes....sasa hapa kwenye code inategemea upo level gani ya engineering.....

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…