Hilo neno WIZI limenikasirisha kwakweli,wengine humu tunajiheshimu na kuheshimu wengine.Haikuwa na umuhimu wa kukomenti neno WIZI ikiwa hujaridhika nayo.Tujiheshimu jamani msiwe na dharau za kipumbavu kama kitu hakijakukalia sawa basi upite tu.:A S angry: