Wireless CCTV bulb camera ofa!Sh. 60,000/= tu!

mchushi

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
216
Reaction score
98
Pata wireless CCTV camera zenye umbo la bulb (spy camera) zinazotumia memory card kwa offline mode au WiFi kwa remote monitoring.

Zinawaka kama bulb za kawaida hivyo ni ngumu mtu kuzitambua kama ni camera na kuna option ya kuzima pia option ya taa kwa kutumia application yake.

Unaweza kuview matukio kwa kutumia app ya Android au iPhone.

Ni nzuri kwa ajili ya kusimamia biashara za mtaji wa kati na usalama wa mtoto/ dada wa kazi nyumbani na matumizi mengineyo.

Nicall/Whatsapp 0752548861 kwa maelezo zaidi.

Napatikana Mbeya lakini pia mikoa ya Dar es salaam, Arusha, Mwanza na Dodoma.
 
Uko mbeya sehem gan
 
Mwanza napata maeneo gani chief na taa moja Ina kamera ngapi?
 
Kuna watu nimewasikia eti hizo ni vimeo.
Tupe ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…