Baba Jadecah
Member
- Apr 17, 2019
- 37
- 22
Kama tujuavyo kuna windows mbalimbali kwa matumizi tofautitofauti, sasa nataka kujua ni window gani nzuri zaidi maana PC yangu ina window 8.1 lakini kuna baadhi ya software hazifanyi kazi mfano bluetooth nk.
Asante mkuuUzuri wa window Ni kukamilisha mahitaji yako
Hivyo ikiwa unawindow lakini haikupi yote unayoyahitaji bas sio nzuri
Window 10 kari
kelphin kepph
Asante, ila kuna wanaodai window 10 ina data consumption kubwa sana kwakuwa ina-update nyingi sijajua ukweli hapoWindow 10 ni nzuri zaidi
Window 10 pro,Uzuri wa window Ni kukamilisha mahitaji yako
Hivyo ikiwa unawindow lakini haikupi yote unayoyahitaji bas sio nzuri
Window 10 kari
kelphin kepph
Update unazuia mkuuina depend unatumia kwa matumizi yapi
na pia toleo la PC yako ni la mwaka gani mana kuna PC zingne utake usitake lazima utumie window 10 ili pc yako ifanye kazi vizuri na kuna PC ili pc yako ifanye kazi vizuri kulingana na driver inakulazimu utumie window 7
Window 10 wanasema bora 7bu ni latest
kwangu mm na shughuri nizifanyazo WINDOW 7 ndo bora kwangu nikitaka nitumie window 10 inanicost ghalama kubwa za uendeshaji kwanza inapenda kula bando kwa maupdate yake ambayo huwezi kuyazuia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni huwa inatafuna kwrli data, ila baada ya muda inapunguza maana inakuwa imemaliza ku upgrade vitu vingi.Asante, ila kuna wanaodai window 10 ina data consumption kubwa sana kwakuwa ina-update nyingi sijajua ukweli hapo
Asaante mkuu umenitoa hofuMwanzoni huwa inatafuna kwrli data, ila baada ya muda inapunguza maana inakuwa imemaliza ku upgrade vitu vingi.
Kuna njia ya kuzuia hizo updates japo siyo rafiki sana kama wewe siyo mtaalamu. Ila hata mimi naona windows7 ilikuwa poa sana japo kwa sasa natumia 10 proina depend unatumia kwa matumizi yapi
na pia toleo la PC yako ni la mwaka gani mana kuna PC zingne utake usitake lazima utumie window 10 ili pc yako ifanye kazi vizuri na kuna PC ili pc yako ifanye kazi vizuri kulingana na driver inakulazimu utumie window 7
Window 10 wanasema bora 7bu ni latest
kwangu mm na shughuri nizifanyazo WINDOW 7 ndo bora kwangu nikitaka nitumie window 10 inanicost ghalama kubwa za uendeshaji kwanza inapenda kula bando kwa maupdate yake ambayo huwezi kuyazuia
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hiyo sijawahi isikia kabisa. Asante nitafanyia kazi mkuuTumia obuntu !! Hutajutia wala kuwa atacked ovyo na virus
sent from toyota Allex
inawezekana u unazuhia lkn inakwambia kabisa itaaupadate automaticKuna njia ya kuzuia hizo updates japo siyo rafiki sana kama wewe siyo mtaalamu. Ila hata mimi naona windows7 ilikuwa poa sana japo kwa sasa natumia 10 pro
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kaaz kwelikweli. Sina utaalam sana na hizo settings za security mkuuinawezekana u unazuhia lkn inakwambia kabisa itaaupadate automatic
na kweli ikipata strong internet inapiga zaidi ya 10gb then baada ya hapo inatulia haisumbui kula bando lkn kwa ninazotumia window 10 kuupdate lazima
lbda uchokonoe file za security na ukichokonoa Window deffender ufunge na antvirus usiweke ama sivyo itaaupdate tu automatic
Sent using Jamii Forums mobile app
inawezekana u unazuhia lkn inakwambia kabisa itaaupadate automatic
na kweli ikipata strong internet inapiga zaidi ya 10gb then baada ya hapo inatulia haisumbui kula bando lkn kwa ninazotumia window 10 kuupdate lazima
lbda uchokonoe file za security na ukichokonoa Window deffender ufunge na antvirus usiweke ama sivyo itaaupdate tu automatic
Sent using Jamii Forums mobile app