mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,395
- 3,197
labda kama ni mwanaume wa darMara paap ....ni guduma
labda kama ni mwanaume wa darMara paap ....ni guduma
Punguza mihemko wewe...Huu mwimbo ni kiboko yao..utapigwa adi mwisho wa dunia..kama mimbo kama tutakukumbuka ya crazy gk na tid...
Kwa hili tumemstukia....Atafute sababu nyingine na kisingizio kingine siyo kwa wimbo huu wa Papii kochaAnalia kwa stress zake huko..anasingizia wimbo..
Na kama ni mwanaume basi ndio yupo kundi lile la wanaume.......huenda sio mwanaume
Yaani hata sielewi kwa nini watu wanakuwa na vimuhemuhe na miamko ya ajabu ajabu kiasi hiki.Punguza mihemko wewe...
Kwanza bado wana kesi ya kujibu hawa.
Na video haihusiani na kinachoimbwa.
Sio Mwanaume huyoSehemu gani imekuliza hapo chozi la mwanaume halitoki kwa namna hiyo
Nami nilikuwa nahisi hivyo kuwa huyu mtu si.....Sio Mwanaume huyo
Ni dalili za unyumbu tu...hakuna kingine.Yaani hata sielewi kwa nini watu wanakuwa na vimuhemuhe na miamko ya ajabu ajabu kiasi hiki.
Daaah huyu jamaa niliwahi kusema akirudi kuimba Tena Dunia itasimama.
Yasome mashairi yake hapa.
Verse 1.
Dunia inazama, naangalia,
Sina cha kufanya,moyoni naumia.
Mawazo yangu oh, naangamia
Uko wapi Mungu wangu we,hunioni nalia
*Kumbe ulikua unanisikia , unaniangalia.....weweeee
Likapotea,tumaini langu ila imani ikaingiaa....×2
Chorus
Waambie, uliniona,nilipokuomba uliskia,na ukaitika.
Mungu wambie,uliposema uwaja, wala hukukosea njia, na ulifika.
Mungu wambieee, niwewew tuuu, niwewee tuuu, wuwuwu.
Mungu wambie eeh, niwewe tuu uliesababisha leo imefika.
Verse 2.
Wambie, kila siku ni zawadi, hakuna heshima inayozidi uhai.
Ni Nineema na Rehema, wawe ha hekima unazitimiza ahadi,
Ooh ooh wambie, hawapaswi kukata tamaa, sababu daima haupo mbali.
Ukipotea mwanga, gizani ndo nyota hunga'aa mwanga mkali.
Wambie,
Wasiache tumaini ndo imaniiii iii
Wasiache kukuamini ndo amanii ii iii
Chorus
Waambie, uliniona,nilipokuomba uliskia,na ukaitika.
Mungu wambie,uliposema uwaja, wala hukukosea njia, na ulifika.
Mungu wambieee, niwewew tuuu, niwewee tuuu, wuwuwu.
Mungu wambie eeh, niwewe tuu uliesababisha leo imefika. ×2
Link hii kuitazama video yake