Wimbo unaoishi

Kaka Kapo

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2012
Posts
547
Reaction score
350
Leo nilikuwa nasikiliza wimbo wa Bongo Dar es Salaam wa Prof. Jay nikiwa nahusisha na hali ilivyo sasa na ilivyokuwa kipindi huu wimbo umetoka, I think ni early 2000's; vingi vinavyotajwa kwenye mashairi ya wimbo havijabadilika saana.

Je, ni sahihi tukiuita ni wimbo unaoishi?
 
Wimbo gani, maana karibu nyimbo zote za Profesa zinaishi alikuwa anatulia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…