Asee maneno yako yakitimia nitafurahi sana. Huu wimbo ni mkali bwana wasiufanyie sport sport! Lakini pamoja na hiyo, haoni kama watu tutakuwa tumeshausikiliza vya kutosha huu huu ulio na upungufu na kufanya huo uliokamili kukosa vibe ya kutosha! Manake naamini instrumental ni hii hii, mashairi ni hayahaya na melodi ni hizihizi!