Will Uganda and Tanzania’s rebounding economies soon overtake Kenya’s?

Kama ulikua unaelewa na vile ulikua ukieleza katika post yako yakwanza na mimi
nikajibu bila kuelewa ambacho ulikua umeanndika, kama mwana elimu ungenifafanulia.
Man, hivi wewe ni wa wapi? Kwanini ukurupuke ku-respond kwa post usiyoielewa? Una akili timamu wee?
Wewe ndie haukufahamu vile nilivyo kua nikisema na kudai sijui, inner box, outer
box, jameni, iko nini?
Sielewi unataka nifahamu nini kutoka kwa mtu anayejibu post asiyoielewa. Uko mzima kichwani?
Lakini inaonekana kama ulikua ume kram somewhere. Sababu? Hauwezi kufafanulia mtu mjinga kama mimi, eee?
Siko hapa kufundisha. Kaa uliona huna input au mawazo kuhusu idea zangu, ungeweka ktk mfumo wa maswali badala ya kujitia ujuaji wa kitu usichokielewa. Ebo.
Chuki yako haitatatua shida za mwafrika. Unachuki kwa watu hauwajui ama kua elewa hata hawana ubaya wowote nawe.
Naona unaweweseka na kuanza kuzusha kila linalokujia kichwani. Chuki yangu ni ipi?Kuelezea vile ninavoona ? Wee kumbe ni bure kabisa, yaani HOVYO.
Sasa watafuta msaada ati wengine wakusaidie, ungekabiliana na mimi, ki fikra na kielimu na kuacha wengine waamue.
Ni wapi nimeomba msaada? Nioneshe ni kwa post ipi nimeomba msaada? Wewe ni mjinga kabisa yaani sikutambua mapema. Yaani unadhania nilikua na shindana na wewe? Makubwa haya!
Sikua nime elewa ku navigate katika hii site mara ya kwanza na sikujua kile nilikua nikiandika kilikua chaenda wapi na ndivyo nikarudia hayo umenakili hapo juu na sikua niki kukwepa.
Hilo ni tatizo lako na inaonesha si tu hukujua hilo, bali hujui mambo mengi na huko makini.
Katika post yako yapili, uliwatusi wakenya sana lakini sikuona chochote kikubwa
kwani kama nilivyo sema hapa ni mjadala.
Nimewatusi kwa kusema a chunk of people have nothing? Wewe huna akili kabisa. Sasa unataka kusema majority ya wakenya ni matajiri na wapo well-off?
Mpaka sasa si jasema chochote kibaya kuhusu watanzania na nina jua watanzania sana tangu utotoni mwangu kwamba ni watu wazuri na wanishangaza sana.
Najilaumu kwanini nilichelewa kutambua kuwa wewe ni mjinga, tatizo lako unaongelea matukio, minajadili misingi ya fikra. Ndo maana hukunielewa tangia mwanzo, maana akili yako ipo kwenye kuvuta kamba, unadhania nipo hapa kupigia chapuo ukenya na Utz. You are total loser, na najilaumu kupoteza muda wangu kujibu post zako zilizojaa utumbo. na matapishi.
Unafaa utembelee Kenya ili ujue kile unaongelea.
Unazungumza as if unajua nilipo. Nitembelee Kenya kwa minajili ipi kwanza?
Sina ubaya nawe. Ama ni outer box na wewe inner boksi, he he he.
Nadhani utakua umejifunza ku-approach mjadala kwa kuelewa wanachopost wengine badala ya kuleta utumbo from nowhere.
 
Ama tena sija kuelewa?

You damn right. You are still clueless.

Mimi siongelei matukio kaa wewe, naongelea misingi ya fikra. Idealised concepts. Wewe unajadili matukio. Ndio maana hatuelewani humu, nakushauri acha kujibu post zangu maana huzielewi.
 
Buda achana na Abdulhalim, atakuchanganya tu na hiyo kiswahili yake na kukuuliza ni kipi kipya? hana lolote huyo, mkulie vako.

Mh..sasa kuna faida gani aendelee na mimi wakati hanielewi, anarukiarukia tu vitu bila kuvielewa. Si ndo uzuzu wenyewe huo?
 
Nomasana acha uongo and if your fellow kenyans wakisikia that you dont mind who own what, they will stone you mpaka ufe.

Through out your country people are screaming about the unjust distribution of the national wealth. Few people are enjoying on the large tract of land while the mass are squatting and tenting along the roads, halafu wewe nomasana unasema you dont care, nani kawaloga?!!!

I always say you guyz be wise in understandaing things. So for you nomasana employment is enough to feel that you are incorporated in the economy. Don't you know that most of the employees in those establishments are cheep labourers.

Much has been said in this jukwaa on how the westeners have been exploiting Kenya and the entire continent. Now what to discuss is how to get rid of that unyonyaji, incorporate our people in the economy.

nomasama, smata na wengine, remember ''CAPITALISM TRIUMPHED IN WEST BUT FAILED EVERY WHERE''. Hernando de Soto.

So we need to find out our own way as AFRICANS to distribute our wealth in good manner so as to elliminate the CLASS STRUGGLE which is latently boiling in our societies.

I remain.
Eliakeem.


more power to you mr. kenyan expert.

first of all i do not think you as a tanzanian you can tell me sh*t about the way we kenyans think and why we as kenyans think they way we do. therefore you calling me a liar makes you look very stupid and naive.

let me put it to you this way,

how many kenyans complain that all revenues from m-pesa go vodacom??? NONE!! why? first of all they do not know that, second kenyans do not care where M-PESA revenue goes as long as M-PESA is faithfully providing services to kenyans. case and point, i asked my friends aunt last year in july(may be june not sure which moth) if she knows that all the proceeds from m-pesa goes to UK and that the kenyan govt gets no single cent from that, she said no, then she went on to make a simple statement "sina time ya kufikiria maujinga kama hizo" ("i dont have time to think about crap like that"). she just doesnt care who is getting what from m-pesa as long as M-PESA is helping her with her banana business transactions.

OK i got the perfect way to illustrate my point to you.

during the safaricom IPO, the govt sold its stake to the public and kenyans in their droves went to buy the shares. this meant that vodacom will be by far the majority shareholder. did most kenyans know that? NO!!! if they had known that would happen, would they had refrained from participating in the IPO??? NO!!!! did they care about vodacom becoming the majority shareholder??? hell no!!! if vodacome becoming the majority shareholder meant that a common mwananchi investor will make money from the IPO, then f*ck the ownership structure. did all kenyans make money out of the IPO? NO do you hear kenyans complaining about that? NO. why? cuz some made money and others didnt. for those who didnt make money then tough luck cuz life goes on. you are not going to convience my best friend Maich to complain and protest because another kenyan unknown to him didnt make money from the IPO while Maich made almost a double profit from his investment.

matter of fact kenyans prefer to have vodacom controlling safaricom than the government having control over safcom.

i can give you example after example but the point is kenyans really dont care about who owns what business in kenya.

do your own research and ask as many kenyans as you can if they know who owns what big business in kenya and then ask this follow up question, "DO YOU CARE???" as a tanzanian you might be surprised by the responses you will get for the second question

i do not understand why some tanzanians do not accept that kenyans just have a different way of thinking. kenyans have mastered the art of surving because WE DO NOT HAVE A GOVERNMENT THAT CAN TAKE CARE OF "US" SO A COMMON MWANANCHI HAS TO FOCUS ON "ME" FIRST AND OTHERS SECOND. thats just how we do, you might not like it or understand it but thats just the kenyan way. it is our strength and it is our undoing but thats just who we are.
 
hawa wakulima kama Wacha1 wanaokuja na arguments zao ambazo hazina msingi wowote inabidi waongee na wafanyabiashara au watu wanaofanya kazi za kuvuka mipaka ili waelewe umuhimu wa EAF...waongee na Bakhressa labda wanaweza kuelewa,nimesema siku nyingi hakuna haja ya kusikiliza hawa wajima kama mugabe na iddi amin lazima watu wasonge mbele kwa faida ya vizazi vijavyo.
 
For those who worship Washington Consensus (of course and also British) can't understand Nyerere school of thought. Because they cultivating the selfishness and arrogance ideas.
The continental Europe seem to apply Nyerere ideas in modern way. Countries like as Germany, The Netherlands, and Scandinavia are making sure that every citizen is not left out of the berry jar. Every one should get involved in economy.

But my concern is how we Africans can implement a sociolistic market economy (china (SINO) technoque), a high measure of freedom to involve in economic activities with a graduated government internvesion.
I remain.
Eliakeem.

Ni kweli Br. Eli,

Ni bahati mbaya kwa watu kushindwa kuona kua capitalism is self-defeating. Winners only wins on expenses of others. Bila kusahau kuwa human greed has is not finite wakati resources ktk sayari hii zipo fixed and limited. Unaeza kuona mtu mmoja hapo anaelezea sijui kumiliki nyumba 15, haielewi kuwa alikua anasapoti post yangu #9 aliyodai anai-respond, nilipoifananisha capitalism with DECI. Niruhusu ninukuu one of the great minds hapa.

The laws of capitalism, which are blind and are invisible to ordinary people, act upon the individual without he or she being aware of it. One sees only the vastness of a seemingly infinite horizon ahead. That is how it is painted by capitalist propagandists who purport to draw a lesson from the example of Rockefeller - whether or not it is true - about the possibilities of individual success. The amount of poverty and suffering required for a Rockefeller to emerge, and the amount of depravity entailed in the accumulation of a fortune of such magnitude, are left out of the picture, and it is not always possible for the popular forces to expose this clearly ... It is a contest among wolves. One can win only at the cost of the failure of others.
- Che Guevara.

Che anaongelea failure ya capitalism, kuwa kwa mtu kuwa successful, in the process watu kadhaa wataachwa nyuma, kumueka huyu kileleni. Pia capitalism inanuwia kumnufaisha individual tu sio jamii yote...achilia mbali fallacious assumption ya kuwa kuna infinite resources and opportunities to pursue.

Nways,

The real question is, how do we do as Africans kueza kuweka mambo sawa?. Ni wazi tulipo na tunapoelekea ni kubaya. Lakini ni kweli twaeza kuwa na solution ya nchi moja moja bila kuwa na msimamo mmoja kwa mataifa yote? Wapi pa kuanzia?
 
Kuna malimbukeni humu wanakimbilia ku-respond posts bila kuelewa kinachozungumzwa. Inashangaza. Watu tunajadili idealized concepts, wao wanajadili matukio.

Samadi tupu.
Abdulhalim kila mtu humu jukwaani na mawazo yake kwa hiyo usilaumu mtu wewe kinachotakiwa utowe mawazo yako na Elimu yako na fikra zako sio kumponda mtu eti mawazo yake sio mazuri hamkusoma wote shule moja Mkuu Abdulhalim kila mtu ana akili zake na mawazo yake hapa tupo kuelimishana katika hii forum sio kukashifiana na kutoleana maneno ya matusi hatutafika tuendako tuwa elimu yako watu waione Mkuu
 
Abdulhalim kila mtu humu jukwaani na mawazo yake kwa hiyo usilaumu mtu wewe kinachotakiwa utowe mawazo yako na Elimu yako na fikra zako sio kumponda mtu eti mawazo yake sio mazuri hamkusoma wote shule moja Mkuu Abdulhalim kila mtu ana akili zake na mawazo yake hapa tupo kuelimishana katika hii forum sio kukashifiana na kutoleana maneno ya matusi hatutafika tuendako tuwa elimu yako watu waione Mkuu
??
Tupo pamoja kweli weye? Lakini basi yaishe.
 
more power to you mr. kenyan expert.

first of all i do not think you as a tanzanian you can tell me sh*t about the way we kenyans think and why we as kenyans think they way we do. therefore you calling me a liar makes you look very stupid and naive.
i do not understand why some tanzanians do not accept that kenyans just have a different way of thinking. kenyans have mastered the art of surving because WE DO NOT HAVE A GOVERNMENT THAT CAN TAKE CARE OF "US" SO A COMMON MWANANCHI HAS TO FOCUS ON "ME" FIRST AND OTHERS SECOND. thats just how we do, you might not like it or understand it but thats just the kenyan way. it is our strength and it is our undoing but thats just who we are.

I swear they cant understand, these are simply people who expect their goverment to do everything for them, we are different, we have had no stable leadership for almost three decades, so you should expect us to roll differently.

You will never come to understand us, we have different ideologies man, you have socialistic ideologies where you interpret stuff as yours collectively, I have a capitalistic ideology where i want something to be mine, not ours. Thats why I bust my a.ss crossing bordersl;ooking for money and I stay here at JF fighting for the EAC, which for you, my close minded brothers, you see it as a pimped ideology by multinational companies, this might be the case, but why should I care if am making a kill, why?
 
I swear they cant understand, these are simply people who expect their goverment to do everything for them, we are different, we have had no stable leadership for almost three decades, so you should expect us to roll differently.

Lakini lipi ni jipya hapa? mijitu fulani ya kenya kujifagilia na kujifanya + kujiona ipo ligi nyingine? Sidhani kaa ni jipya hili. Tumeona mengi tayari ya kutosha. This was redundant to say the least. Ktk literature hii sanaa tunaita majigambo it is none other than feel good-self-made-empty claims.No substance.

Furthermore, sijaona sababu hasa ya mjadala kugeuka kuwa ya mvutano wa aina yeyote kati ya Tz vs KE. Nadhani memba fulani ambao wako very hysterical for nothing , and this post I'm quoting has never disappoint.
You will never come to understand us, we have different ideologies man, you have socialistic ideologies where you interpret stuff as yours collectively, I have a capitalistic ideology where i want something to be mine, not ours. Thats why I bust my a.ss crossing bordersl;ooking for money and I stay here at JF fighting for the EAC, which for you, my close minded brothers, you see it as a pimped ideology by multinational companies, this might be the case, but why should I care if am making a kill, why?


I am glad umeongelea hili. Maana wapo waTz ambao hawaelewi hii EAC inaenda kwenye impact gani for the future. Hii ni wake up call kwa clueless tznians. Lakini with time elewa kwamba waTz wengi wanaamka, and it will be the matter of time before new 'Azimio la Arusha' will be born, na tutajua nani ni juha zaidi ya mwingine wakati nguvu ya umma itakapo-claim what it is practically theirs.
 
You damn right. You are still clueless.

Mimi siongelei matukio kaa wewe, naongelea misingi ya fikra. Idealised concepts. Wewe unajadili matukio. Ndio maana hatuelewani humu, nakushauri acha kujibu post zangu maana huzielewi.

Kwa matusi, you are an expert, that i agree. Matusi huja kama hauna la maana la kusema.

Umepoteza wakati mrefu kwa kuandika upuzi mtupu na hauna mchango
wa maana na i really regret to be engaging a person of your calibre.

You are just a fanatic, that is UJAMAA FANATIC, and who ever disagree with
you, you shower him with matusi.

Kama unafikiri unaniudhi, ha ha ha, umepotea kwani waendelea to display the kind
of your thinking.

You are just like a tick, KUPE, sticking on a cow not realizing that it died long time
ago. Socialism died long time ago brother.

Even TZ has being moving away from it.

Wewe ni ndugu, hata kama ni 'kubafu tuu' vile rais Kibaki husema.


Wake up brother, i feel sorry for you, nobody talks about socialism this days.
Ati mtu wa fikra, fikra ngani hizo za 1960 na 70's.

Unawapotosha wanainchi kwa hizo fikra za kitoto. Umepitwa na wakati.

I thank the person who invented the internet. But people of your class are a big let down to this great invention.

Somebody should take you to a class and give you some lessons on other things
apart from socialism.

Why did i pick to answer your first post, because i thought i might help you with some kind of knowledge for i really felt sorry of what you had written.

It was my duty to help a fellow african like you. You really need some help.

You completely know nothing about the subject of economy.

You were trying to equate foreign investent with uma-laya ambapo invester ana amka na kwenda zake kwao na mali alizopata.

Nilikujibu na mfano wa Kenya telecom lakini sababu akili zako zimeshikanishwa na kufungwa jela na ujamaa, na haukuelewa nilicho kua nikisema ukaanza kunishutumu ati sikuelewi.

Post yako ilikua kama imeandikwa na mtoto wa miaka, hata sikumi, wa miaka mitatu. So there was nothing that complicated, just childishness.

Ati waongea in the box, ha ha ha ha, kichekesho bwana weeee.

You really use very cheap tactics. You are pathetic. Kwanini wengine walinifahamu nilichokua nikisema?

Nina changia katika five african forums and i'm not new in these things.

Kuja Kenya na nitakungoja mpakani na nikusaidie kuvuka bararara, ninajua umezoea baraba ambazo hupitiwa na baiskeli tuu.

Mawazo yako, it gives me an image of a person you are.

Mtu ni akili na kile kinacho toka katika kwa mdomo wake, it show the kind of a person you are.

I challege you again, tell us the success of UJAMAA TANZANIA.

Ama wewe ni expert wa MATUSI TUU na UJAMAA ambao hauwezi kuelezea.

Ati you are about to INVENT A PERPETUAL MACHINE, ya ku perpetuate
UJAMAA?

You are a bad dreamer. The Russian could have done that with the technological
know how. Wake up and live.

Little knowledge is more dangerous than having none.

Ulisoma tujivitabu za ABU BIN AWAS na sasa wajifanya ati wewe ni mwana ELMU.

Eee bwana inner box? Jibu niku jibu.
 
Misleading, misleading,misleading.

Can any peson back up what you say with facts.

Kenya had a budget of kshs 800 billions last year.

95% of this money was achieved locally.

We do not have any usefull minerals and all that is
taxation from Kenya people and
companies.

Do you know what was the budget of Tanzania last year?

Do you want me to tell you?

So you want to mean that the 800b came from Kenyatta, Moi and Kibaki family.

Aiiii, wacha maurongo zako, hata kama.

I wish it was that way but unluckily, it is Kenyans who raised
all that money though overtaxed but we alwys managed.

It is good that we do not have any those kind of minerals you
have in Tanzania.

We would be either very rich or poorer than we are.

Jammu,

Now I can categorically postulate you are a sycophant.

Please do not engage me in the aforementioned subject as it
is a foregone conclusion. Do you have any idea what the 3
families mentioned own in Kenya in terms of real estate? Do
you have any idea how the properties were acquired? Our
fellow member Smatta opined here albeit rhetorically about the
corruption and money fleecing tendencies that go on in Kenya.
Afu unaniuliza facts?????...Get a grip of what you are saying.

I used to tell my students in my other life as a teacher that
gullibility is very expensive.Take heed of that statement.

Ignorance is bliss.
 
Kwa matusi, you are an expert, that i agree. Matusi huja kama hauna la maana la kusema.

Umepoteza wakati mrefu kwa kuandika upuzi mtupu na hauna mchango
wa maana na i really regret to be engaging a person of your calibre.

You are just a fanatic, that is UJAMAA FANATIC, and who ever disagree with
you, you shower him with matusi.

Kama unafikiri unaniudhi, ha ha ha, umepotea kwani waendelea to display the kind
of your thinking.

You are just like a tick, KUPE, sticking on a cow not realizing that it died long time
ago. Socialism died long time ago.

Even TZ has being moving away from it.

Wake up brother, i feel sorry for you, nobody talks about socialism this days.
Ati mtu wa fikra, fikra ngani hizo za 1960 na 70's.

Unawapotosha wanainchi kwa hizo fikra za kitoto. Umepitwa na wakati.

I thank the person who invented the internet. But people of your class are a big let down to this great invention.

Somebody should take you to a class and give you some lessons on other things
apart from socialism.

Why did i pick to answer your first post, because i thought i might help you with some kind of knowledge for i really felt sorry of what you had written.

It was my duty to help a fellow african like you. You really need some help.

You completely know nothing about the subject of economy.

You were trying to equate foreign investent with ***** ambapo invester ana amka na kwenda zake kwao na mali alizopata.

Nilikujibu na mfano wa Kenya telecom lakini sababu akili zako zimeshikanishwa na kufungwa jela na ujamaa, na haukuelewa nilicho kua nikisema ukaanza kunishutumu ati sikuelewi.

Post yako ilikua kama imeandikwa na mtoto wa miaka, hata sikumi, wa miaka mitatu. So there was nothing that complicated, just childishness.

Ati waongea in the box, ha ha ha ha, kichekesho bwana weeee.

You really use very cheap tactics. You are pathetic. Kwanini wengine walinifahamu nilichokua nikisema?

Nina changia katika five african forums and i'm not new in these things.

Kuja Kenya na nitakungoja mpakani na nikusaidie kuvuka bararara, ninajua umezoea baraba ambazo hupitiwa na baiskeli tuu.

Mawazo yako, it gives me an image of a person you are.

Mtu ni akili na kile kinacho toka katika kwa mdomo wake, it show the kind of a person you are.

I challege you again, tell us the success of UJAMAA TANZANIA.

Ama wewe ni expert wa MATUSI TUU na UJAMAA ambao hauwezi kuelezea.

Ati you are about to INVENT A PERPETUAL MACHINE, ya ku perpetuate
UJAMAA?

You are a bad dreamer. The Russian could have done that with the technological
know how. Wake up and live.

Little knowledge is more dangerous than having none.

Ulisoma tujivitabu za ABU BIN AWAS na sasa wajtia ati wewe ni mwana ELMU.

Eee bwana inner box? Jibu niku jibu.

Abuu do the needful please.

Kaa mtu hana input post yake ifutwe. Maana kuna watu wanataka kuipindisha hii thread kwa kusudi iende 'kusikojulikana'.
 
Abuu do the needful please.

Kaa mtu hana input post yake ifutwe. Maana kuna watu wanataka kuipindisha hii thread kwa kusudi iende 'kusikojulikana'.

OMG, is anyone noticing a trend, who the hell are you dude? I acnt beleive this fruit, so you want him to be banned ama post yake iwe deleted, if you cant have a mature discourse with adults without you running to the moderators, then you surely dont belong here.
 
Back
Top Bottom