Wi-fi setting msaada jamani

Wi-fi setting msaada jamani

cheppe

Senior Member
Joined
Sep 29, 2013
Posts
157
Reaction score
13
Wandugu naomba msaada wa wi-fi setting kwenye simu nina simu mbili moja ina 100 mb nataka kuzitumia kwenye hiyo simu nyingine kwa njia ya wi-fi inanigomea inanitolea vitu nivijaze kama network type,ssid,password na vingine sasa sielewe nifanyeje nasubiri msaada wenu jamani
 
Unakiwa uwashe hotspot kwa simu moja hio ingine washa wi-fi inase mawimbi ya hotspot kutoka simu ya kwannza


Fanya hivi : simu ya kwnza
Ingia settings --> wireless & networks

Then chagua tethering hotsopt
Chagua tethering wireless

Kuna nafas za kujaza jina la tethering wifi yako na password

Ni juu yako kuweka jina na password au unaweza kuacha kama ilivyo.

Simu ya pili

Ingia settings
Chagua wireless & networks
Then
Chagua wi-fi settings

Enable wi-fi

Subiri uone kama jina la tether wifi ya simu ya kwanza linaonekana

Ikiwa tayari unganisha utumie 100 mb
 
Unakiwa uwashe hotspot kwa simu moja hio ingine washa wi-fi inase mawimbi ya hotspot kutoka simu ya kwannza


Fanya hivi : simu ya kwnza
Ingia settings --> wireless & networks

Then chagua tethering hotsopt
Chagua tethering wireless

Kuna nafas za kujaza jina la tethering wifi yako na password

Ni juu yako kuweka jina na password au unaweza kuacha kama ilivyo.

Simu ya pili

Ingia settings
Chagua wireless & networks
Then
Chagua wi-fi settings

Enable wi-fi

Subiri uone kama jina la tether wifi ya simu ya kwanza linaonekana

Ikiwa tayari unganisha utumie 100 mb

Nashukuru nimefanikiwa ndugu ubarikiwe
 
Nami nigependa kutumia my laptop kukonext na wireless ya min galaxy na kuitumia data ili niymie kwenye laptop nayo iko na wi-fi? How do I go abou it?!
 
Nami nigependa kutumia my laptop kukonext na wireless ya min galaxy na kuitumia data ili niymie kwenye laptop nayo iko na wi-fi? How do I go abou it?!

Fuata maelekezo haya

Unaweza kuconnect kwa usb cable au wireless.

Kwa usb cable.

Connect usb cable kweny simu pia kweny laptop

Baada ya hapo ingia kweny menu chagua settings --> wireless & networks ---> tethering & portable hotspot

Hapo kuna sehemu mbili moja ni usb tethering
Hii ukiwa umeunga usb cable kwa laptop

Ingine ni tethering wireless
Hii unaweza kuunga internet kwa laptop bila ya kutumia waya kuunganisha laptop au simu zingine.

Chagua inayokufaa .

Nadhan hadi hapo utakuwa umefanikiwa kuunganisha internet kutoka kweny simu kwenda laptop
 
Back
Top Bottom