Why TZ android Developers should target more countires ???

Why TZ android Developers should target more countires ???

mishe bwoy

Senior Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
116
Reaction score
34
Hiki kitu nilikuwa sijakifahamu, Baada ya juzi kati natengeneza campaigns kwe admobs za app zangu nakuta total reach ya wa TZ wenye uwezo wa kudownload app ni only 1.3M,,,!! hapo sijatoa wale hawajui hata playstore ni nini, kaz zao ni kupiha na kupokea simu na kuchat whatsapp,cjaweka wale simu zao zinajaa sana memory kea haraka hasa hawa wa sasa,,, That y unakuta app nyingi za kibongo zinaishia 100k downloads,,!!

So developer wa Kibongo wenye malengo za 10M+ downloads ni wakat wa kuanza kufyatua apps na kutarget dinia nzima!! thanks!!!!
 
ni shida sana, hasa nikikumbuka Adsense kwa lugha ya kiswahili, namlaumu sana Nyerere
 
Back
Top Bottom