Why Students Fails


naunga mkono hoja
 
cungi mkono hoja kwana wanaofaulu wanackutofaut na 365,??hzo ni fikra ya anaefel, aher mtu aamin ktk ujinga lakn icwe upumbavu kama huo cha msng ni njia na c jibu!!!!_[we need methoid not for answer}}}}}
 
cungi mkono hoja kwana wanaofaulu wanackutofaut na 365,??hzo ni fikra ya anaefel, aher mtu aamin ktk ujinga lakn icwe upumbavu kama huo cha msng ni njia na c jibu!!!!_[we need methoid not for answer}}}}}

Wasomi wanaangalia logic kuelewa, uckimbilie kutafsiri km mkaliman hapa. Jamaa co km anasema watu hawawezi kifauru hata yy naamini alifauru sema amejaribu tu kuhusianisha muda unavopotea kwenye mambo mengine na wanafunzi kukosa mda wa kutosha kijisomea. Ndo maana wengi wamesema geni kwakuwa hawakufikiria kukokotoa hii. Km inamapungufu sio mbaya amejaribu km ulisoma science, atomic theories zilikua na mapingufu lkn watu walikuja na zngine na hawakubeza waliotangulia. Nimeamini kunawatu humu wanataka kusomwa mawazo yao tu af mengi wanazungumzia ngono na ushenzi ***** zenu
 



asante sana. kuna watu wanajifanya wanajua kumbe ni ma zumbukuku. isitoshe hata hajaelewa kilichoandikwa.
 
asante sana. kuna watu wanajifanya wanajua kumbe ni ma zumbukuku. isitoshe hata hajaelewa kilichoandikwa.

Kweli kabisa wepesi wa kujibu bila kushirikisha kichwa. Na si kila mwenye kichwa anaakili!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…